Wanajua labda wote tunafanana maisha
 
Dah" uewelewa wako ni mdgo sana mkuu..

acha atake taka kuniamin ataniamini, na atakaye taka kukuamini atakuamin maan naona watoa ID tumekuwa wawili

Kama ni limeisha ila kama una mengine unaweza sema usaidike[emoji64]


Mkuu sina jingine uwe na weekend njema.
 
Mkuu wew ni kutoka kanda ya ziwa kwa Mwl. Nyerere?
 
One of the best

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Acha ujinga, kuna watu wanakula mke wa mtu bafuni na mume yupo sebuleni.

Usichoweza wewe wenzako wanafanya. Mashaka yako baki nayo kichwani kwako.

Usikariri sana, dunia ina mengi.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…