Ulinzi ni mwingi sana pande hizi

Ulinzi ni mwingi sana pande hizi

Kuna wamasai kibao mbona wanatembeza hiZ kitu mtaani mkuu. Nimewaona wengi tu
pete zinauzwa maeneo mengi mkuu.
Ila hizi ni special zimesomewa kitabu na zimekaa chini ya bahari siku saba
 
Huyo ni RC wa Mwanza?

Wakati ule sakata la Dr Nawanda lina trend,kuna mdau humu alidai Bw Mtanda vidole vimejaa mapete makubwa kama mpunga majini.
Rc wa mwanza apande daladala anaenda wapi?
 
Kwahiyo huyo kwenye picha ni Padre? Padre anapanda daladala anaenda parokia ya wapi?
Kwenye daladala sio Padre ila hizo nilizotuma unawaonaje? Huwa hawapandi Daladala?
 
Huyu ni mchafu kuanzia mwili, mavazi mpaka roho
Angalia makucha hayo, angalia mipete hiyo ni ushirikina tupu!
Mola amwongoe kwakweli
Ãmìn
 
Kama unavyoona, ulinzi ni mwingi sana pande hizi!

View attachment 3289994
Hapo imekosekana ile ya blue ambayo inasemakana ni jini ng'ombe.
Kuna jamaa yangu anayo kidole cha kati basi kuna siju aliwasha udi akainama akajifukiza asee kama dakika 3 hivi alitoa mlio wa ajabu tangu nazaliwa sijawahi sikia sauti ya binadamu ya ajabu kiasi kile😆
 
Ila wewe utakua una chuki tu,Yaani kuona mkono tu umejua huu mkono wa muislam! Kwanza hakuna dini iliyoruhusu uchawi,ukiona muislam au mkristo mchawi ujuwe ni yeye usihusishe dini yake.
Acha kutetea mambo ya hovyo.
Waganga waliojaa Dar es salaam zaidi ya 80% ni waislamu, wengi wao wakiwa ni vijana waliopata elimu ya dini almaarufu Maustadhi
 
Hapo imekosekana ile ya blue ambayo inasemakana ni jini ng'ombe.
Kuna jamaa yangu anayo kidole cha kati basi kuna siju aliwasha udi akainama akajifukiza asee kama dakika 3 hivi alitoa mlio wa ajabu tangu nazaliwa sijawahi sikia sauti ya binadamu ya ajabu kiasi kile😆
Ungeomba akupe chimbo ukajipatie ya kwako.
 
Back
Top Bottom