cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,749
- 189,134
Aaah kumbee, bas sawaa.Wenyewe wanasema ni ulinzi dhidi ya husda na roho mbaya.
Pia wanaamini zinaleta bahati njema.
Aaah kumbee, bas sawaa.Wenyewe wanasema ni ulinzi dhidi ya husda na roho mbaya.
Pia wanaamini zinaleta bahati njema.
Muislam mwenzako Diamond anavaa mpaka Misalaba.Halafu anawaandalia Ftari munakwenda kula,Tena iftari imealikwa na Mashoga wakutosha,Ila hizi njaa za Viazi vitamu vya Nazi zitawapeleka motoniWale wanaojaa pale kawe nii kina nani haswa!? Kuna makanisa ya maombrzi na ya Kiroho kama ya kina gwajima! Ulishawahi kusikia misikiti ya hivyo? Kuna manabii na mitume wenye makanisa ulishawahi sikia waislamu wa hivyo?
Ushirikina kwako wewe ni nini haswa?
Kuna wamasai kibao mbona wanatembeza hiZ kitu mtaani mkuu. Nimewaona wengi tuHizi pete asilimia kubwa ya wanaotoa hizi ni Masheikh, bila shaka udini umeanzia hapa.
Ukute hata hajui maana yake kaiga tu Mondi
MsameheDogo kumbe ni wewe uliekuwa kwenye hiyo seat? Nilivyopanda niliona unatoa simu mfukoni unajichatisha sikujua lengo lako kumbe unataka kunipiga picha.
Saa hizi umekuja kunitupia humu jamvini unadhani mimi simo? Umenikwaza sana
Kuna kitengo cha propaganda unekisahau kavailia kiunoniHivyo ni vikosi vya ulinzi na usalama.
Jeshi la anga,
Jeshi la majini,
Jeshi la nchi kavu
Hauniwezi kwa lolote mkuu, kama unabisha leta mkono tushindane 🤣🤣🤣Dogo kumbe ni wewe uliekuwa kwenye hiyo seat? Nilivyopanda niliona unatoa simu mfukoni unajichatisha sikujua lengo lako kumbe unataka kunipiga picha.
Saa hizi umekuja kunitupia humu jamvini unadhani mimi simo? Umenikwaza sana