kamdinyo
Senior Member
- Jun 22, 2026
- 149
- 394
Nchi ipo uchi kwenye suala zima la ulinzi wa wa mipaka na mambo ya ndani, na ikitokea hata nchi ndogo ya Rwonda ikavamia ndani ya Tunzania itajichukulia maeneo kwa urahisi sana.
Wananchi wa Tunzania wako tayari hata kuisaliti nchi yao kwa kuwasaidia maadui kuiangamiza nchi yetu.
Huu ni utafiti unaochangiwa na maoni yanayotolewa kwenye kurasa rasmi binafsi za wakuu wa vyombo ya ulinzi na usalama pamoja na kurasa rasmi za majeshi ya ulinzi na usalama nchini Tunzania. Tumefikaje hapa ? Kwanini vyombo vya ulinzi na usalama vimepoteza hadhi, imani na heshima kwa wananchi?
Hebu fikiria kauli ya mwananchi kwa mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama
" we mzeee ole wenu ikitokea vita na nchi nyingine tutawasaliti hamtoamini, tutatoa taarifa zenu zote tunazozijua nakuziona, tutahakikisha tunawasaidia wapinzani wenu hadi muishe .
Wananchi wa Tunzania wako tayari hata kuisaliti nchi yao kwa kuwasaidia maadui kuiangamiza nchi yetu.
Huu ni utafiti unaochangiwa na maoni yanayotolewa kwenye kurasa rasmi binafsi za wakuu wa vyombo ya ulinzi na usalama pamoja na kurasa rasmi za majeshi ya ulinzi na usalama nchini Tunzania. Tumefikaje hapa ? Kwanini vyombo vya ulinzi na usalama vimepoteza hadhi, imani na heshima kwa wananchi?
Hebu fikiria kauli ya mwananchi kwa mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama
" we mzeee ole wenu ikitokea vita na nchi nyingine tutawasaliti hamtoamini, tutatoa taarifa zenu zote tunazozijua nakuziona, tutahakikisha tunawasaidia wapinzani wenu hadi muishe .