Ndio maana tumejazana kwa Gwajima tunatolewa mapepo kila J2. Mwambosa atauzia mkojo wa popo anatwambia inatoa uchawiNdugu zetu waislamu washirikina sana
Ndio maana tumejazana kwa Gwajima tunatolewa mapepo kila J2. Mwambosa atauzia mkojo wa popo anatwambia inatoa uchawiNdugu zetu waislamu washirikina sana
😅😅Dogo kumbe ni wewe uliekuwa kwenye hiyo seat? Nilivyopanda niliona unatoa simu mfukoni unajichatisha sikujua lengo lako kumbe unataka kunipiga picha.
Saa hizi umekuja kunitupia humu jamvini unadhani mimi simo? Umenikwaza sana
Kwa Mwamposa na Kuhani Musa waliojaa ni wamama wavaa hijabu wanatolewa mapepo daily.Ndio maana tumejazana kwa Gwajima tunatolewa mapepo kila J2. Mwambosa atauzia mkojo wa popo anatwambia inatoa uchawi
Muislam kwenda kufanyiwa maombi kwa mkiristo ni dhambi kubwa sana tena sana.Kwa Mwamposa na Kuhani Musa waliojaa ni wamama wavaa hijabu wanatolewa mapepo daily.
Kwa Gwajima kuna neno la Mungu kwaajili ya kwenda mbinguni that's why hakuna majuba
Ulijuaje kama waislam?Mbona wamejazana kwa mwanposa?
Ukiona hivyo ujuwe ameasi uislam na haruhusiwi Ata kuongoza ibada, uislam unakataza shirki tafuta Ata mawaidha yanayozungumzia uchawi ujifunze,hao maustadhi unaowaona wewe hawana uislam wowote,ni sawa tu na wale wachungaji wanaojiita mitume na manabii ambao wanatumia maandiko ya bibilia Kwa maslahi yao.Acha kutetea mambo ya hovyo.
Waganga waliojaa Dar es salaam zaidi ya 80% ni waislamu, wengi wao wakiwa ni vijana waliopata elimu ya dini almaarufu Maustadhi
😂Hivyo ni vikosi vya ulinzi na usalama.
Jeshi la anga,
Jeshi la majini,
Jeshi la nchi kavu
Usikatae mwaya ndugu zetu mnapenda sana ushirikina japo mnadai mmekatazwaUkiona hivyo ujuwe ameasi uislam na haruhusiwi Ata kuongoza ibada, uislam unakataza shirki tafuta Ata mawaidha yanayozungumzia uchawi ujifunze,hao maustadhi unaowaona wewe hawana uislam wowote,ni sawa tu na wale wachungaji wanaojiita mitume na manabii ambao wanatumia maandiko ya bibilia Kwa maslahi yao.
Ushirikina hiyo ni imani nyngne mi nipo kyela uku ndani ndani ukristoni kabisa ila habari za kutupiana majini na kulogana zipo tu.Usikatae mwaya ndugu zetu mnapenda sana ushirikina japo mnadai mmekatazwa
Kumbe ayo mambo yapo?🙊Ushirikina hiyo ni imani nyngne mi nipo kyela uku ndani ndani ukristoni kabisa ila habari za kutupiana majini na kulogana zipo tu.
Umejuaje? 😳😳😳😳Hizo kucha utafikiri katia sumu.
Code: Kwa wale wasiofahamu zile roho mbaya zinazowawekea wenzao sumu, huhifadhi sumu kwenye kucha…..Vinywaji.
😁😁Umejuaje? 😳😳😳😳