GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,700
- 14,632
Imeharibu hata ladha ya JF
ni kweli kabisa
Jukwaa siku hizi limeharibika, hakuna cha kujifunza ila ni ubishi tu
mtu kapata smartphone kajiunga JF basi atataka anachookota huko barabarani akilete humu na asipingwe atabishaa mpaka saver ijae.
hata kuchangia au kuelimishana elimu tulizozipata tunashindwa maan hujui unayewboshana naye ni kichaa au gwiji aliyebobea
sasa 4D na YOGA au NDOTO na Medidation ni wapi na wapi