Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Nahisi hata hili swala la sumu huko Syria, mmarekani anahusika ili kuitengenezea image mbaya Syria na mshiriki wake Russia, kwani sizani Asad anaweza akawamlisha askari wake watumie silaha za sumu kwa wananchi wake anaowaongoza.
 
Nahisi hata hili swala la sumu huko Syria, mmarekani anahusika ili kuitengenezea image mbaya Syria na mshiriki wake Russia, kwani sizani Asad anaweza akawamlisha askari wake watumie silaha za sumu kwa wananchi wake anaowaongoza.
Big up Mkuu...

Hao ndio kawaida yao, ila komandoo Putin atawapa jibu Mubashara
 
Nahisi hata hili swala la sumu huko Syria, mmarekani anahusika ili kuitengenezea image mbaya Syria na mshiriki wake Russia, kwani sizani Asad anaweza akawamlisha askari wake watumie silaha za sumu kwa wananchi wake anaowaongoza.
Lazima kuna mkono wao mkuu,Mmarekani ni mshenzi sana.
Baada ya kuzijua fitna zao nimewachukia sana.
 
Nifah nimerudi tena kuangalia mzigo mwingine mumy lete vitu, vitu vyako havichoshi kabisa
 
Ushauri:😱i baadhi ya wadau humu acheni kuzngua..mtu ana-Quote stori nzima alaf haandiki vitu vya maana chini...yani page inakuwa ndefu kchizi...Kwann usipost direct tuh..!??
 
Back
Top Bottom