Huoni kuna mmoja tumemuomba kistaarab tu kajibu pumba? Watu hatufanani mkuuUshauri:😱i baadhi ya wadau humu acheni ushamba..limtu lina-Quote stori nzima alaf haandiki vitu vya maana chini...yani page inakuwa ndefu kchizi...Kwann usipost direct tuh..!??[emoji51][emoji51]
sawa nitasubiriVuta subira mkuu.
uichambue vizuri hii kituCIA ineteresting story yao ni kifo cha Kennedy
Kennedy aligundua CIA ni kama taifa ndani ya taifa
wanajiamulia mambo mengine wenyewe
akaapa kuivunja...akauawa wiki ile ile aliyoapa kuivunja....
Story zipo kila siku ktk group WhatsApp na huku walau kila mwezi mmoja tunaweka makala moja au zaidi.Nifah na the bold hamnaa story nyingine za intelligence maana nipo interest sana na hizi story hata km kuna vitabu niambie plz
Naomba uniunge na hilo group NifahStory zipo kila siku ktk group WhatsApp na huku walau kila mwezi mmoja tunaweka makala moja au zaidi.
Kitabu bado mkuu,ila kipo mbioni.
Check me 0718 096 811Naomba niunge na group Mamaa Nifah
Weka masharti waziCheck me 0718 096 811
(Kuna vigezo na masharti)
Kuna fee ya 5,000/- per monthWeka masharti wazi
Nifah na the bold hamnaa story nyingine za intelligence maana nipo interest sana na hizi story hata km kuna vitabu niambie plz
Naipataje mkuu link au kitabu?Spies Against Armageddon
Naipataje mkuu link au kitabu?