Tena umemuweka ndesa pesa soon watakutafuta![]()
![]()
![]()
Kama ndio hizo sawa,ila kibongobongo ndio wametuweka kiganjani na sio dunia nzima kama CIA.
mbinu za kijasusi ni kama kitendawili na zinapo julikana zina tafuta mbinu mpya.ili watu kuchezewa karata tatuNdivyo sheria zao zinavyosema mkuu.
mkuu kwema? kama unayo fanya mpango basi mi mnazi kweli wa hizi habarCIA ineteresting story yao ni kifo cha Kennedy
Kennedy aligundua CIA ni kama taifa ndani ya taifa
wanajiamulia mambo mengine wenyewe
akaapa kuivunja...akauawa wiki ile ile aliyoapa kuivunja....
hongera sana karibu glass ya wine unipe story nyingine, next time usiache kunitag ukishusha mambo kama hayaThank youuuuu bro..
wapo zimbabwe
Ndio tabu ya kubebishana mtandaoniwapo zimbabwe