Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Intelejensia nzuri sana

Uzalendo kwetu hatuna kazi kutetea maslahi binafsi
 
Wakati wa kumuapisha Obama aliposhinda uraisi wa Marekani, wageni walioalikwa kutoka Afrika walikuwa ni Mandela na rais wa sasa wa Nigeria, wakati huo akiwa ni raia wa kawaida.
 
Excellent!!!! keep it up. [emoji106][emoji106][emoji106]
 
Nifah, shikamoo, kwa story nzuri!!

Ila nimekasirika hujanitag.

Lakini comment natoa kesho maana huku nilipo niko kazini sasa ni mchana.
Asante kwa pongezi mkuu,usijali...nitakuongeza kwenye taglist,karibu.
 
the bold usimpe mimba mapema huyu bibie ataanza kukwambia uwe unaandika story za ukuaji wa mimba yake tu mambo makubwa kama haya hatutayapata[emoji23][emoji23]
natania lakini fact zimeletwa kisomi na sisi akina bashite tunaokota vitu hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mimba ni majaaliwa mkuu,ikipatikana basi ni jambo la kheri...

Au wasemaje sweetheart The bold
 
Naona ile terminology 'UBUYU' imekua maarufu na sasa itasanifishwa ila what I believe wewe ndo MUASISI wa UBUYU
What a honour? Shukraan mkuu [emoji120]
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Asante sana Cheupe kwa makala hii murua..

Japo nimesaidia kuifanikisha, lakini ni akili yako na uandishi wako mwenyewe 85% imefanikisha hili...

Naona unaiva sasa kuwa "jasusi mbobezi" [emoji23] [emoji23] [emoji23]


You make me proud na natembea kifua mbele.. Endelea kushusha nondo zaidi wifey.. [emoji4]

Bila wewe siwezi my love,kila wakati huwa nakuambia sana hili.

Hapo kabla nilikuwa napenda sana habari kama hizi,lakini nilikosa pa kuikatia kiu yangu.

Sasa hivi kiu naikatia nyumbani kwangu,bahati iliyoje?

Hahahaaaaa umenikumbusha ambavyo huwa unatembea kibabe tukiwa pamoja...lol
 
Hahahaaaaa mkuu kila nikikuona nakumbuka dada kutoka Koromije [emoji23]
Duuh,ndo hivyo aiseee .wifi yako kesharudi kwao.

Tatizo lililopo ni mimi kwenda call me j,maana nasikia sikuhizi kila mgeni anae kwenda kule anahisiwa kua ni mwandishi wa habari anae saka taarifa za mungu wa dar[emoji2] [emoji2] [emoji2] .

Itabidi nionge na mkuu the bold akupe kibali ili unisindikize.
 
Back
Top Bottom