Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

kwa uzi km huu...sishangai yanayotokes south korea km si mmarekani baada ya Samsung kua namba moja kwenye uuzaji wa bidhaa zake na kuikimbiza vibaya marekani...toleo la 7 cm zilivyokua zinaripuka zenyewe na machafuko ya kisiasa yanayotokea sasa
Umewaza mbali sana mkuu
 
kwa uzi km huu...sishangai yanayotokes south korea km si mmarekani baada ya Samsung kua namba moja kwenye uuzaji wa bidhaa zake na kuikimbiza vibaya marekani...toleo la 7 cm zilivyokua zinaripuka zenyewe
na machafuko ya kisiasa
yanayotokea sasa

Mkuu unahisi Marekani wamehusika vip hapo??
 
kwa uzi km huu...sishangai yanayotokes south korea km si mmarekani baada ya Samsung kua namba moja kwenye uuzaji wa bidhaa zake na kuikimbiza vibaya marekani...toleo la 7 cm zilivyokua zinaripuka zenyewe na machafuko ya kisiasa
yanayotokea sasa

Mawazo yako bana yanaendana na huu Uzi kasoro umeshindwa kuunganisha dots hazijakutana zimeishia njiani
 
Nifah nina swali kutoka vistory vya mtaani msaada kwako nasikia Michaeli Gorbachev lilikua kusudio la kutoka kwa Kiranja Mkuu wa Dunia kuisambaratisha Urusi, kama ni kweli iliwezekana vip?
 
Umewaza mbali sana mkuu

Thanks Nifah...but hongera kwa uzi huu mtamu...km unamuda tafuta series moja inaitwa "The American" hii ni ya vita baridi na nyingine ni "Homelan"...utafurahia sn hizo series...ila hio ya kwanza ni balaa zaidi.
 
Thanks Nifah...but hongera kwa uzi huu mtamu...km unamuda tafuta series moja inaitwa "The American" hii ni ya vita baridi na nyingine ni "Homelan"...utafurahia sn hizo series...ila hio ya kwanza ni balaa zaidi.

CORRECTION:::Series inaitwa "Homeland"
 
Thanks Nifah...but hongera kwa uzi huu mtamu...km unamuda tafuta series moja inaitwa "The American" hii ni ya vita baridi na nyingine ni "Homelan"...utafurahia sn hizo series...ila hio ya kwanza ni balaa zaidi.
Poapoa mkuu,shukraan.
Nitazitafuta.
 
Wewe umepata wapi muda wa kusoma makala yote hii?

am deeply sorry sijasoma ata kimoja maana hainiongezei kitu ata kimoja katika ma life saaaana ni wasted of time

ila kama wewe uko interested its fine ya kaisari muachie kaisari
 
CIA ineteresting story yao ni kifo cha Kennedy
Kennedy aligundua CIA ni kama taifa ndani ya taifa
wanajiamulia mambo mengine wenyewe
akaapa kuivunja...akauawa wiki ile ile aliyoapa kuivunja....
mkuu waweza toa thread kuhusu hili
 
Nifah bi uppppp , shusha mzigo mwingine wiki hii nanunua kifurushi bando la wiki 10 GB
 
Nifah bi uppppp , shusha mzigo mwingine wiki hii nanunua kifurushi bando la wiki 10 GB
Kuandaa mzigo kama huu ni kazi nzito sana,yaweza chukua takribani mwezi mzima.
Nafikiri Bold ana mizigo mingine katika 'stock' yake.
 
Kuandaa mzigo kama huu ni kazi nzito sana,yaweza chukua takribani mwezi mzima.
Nafikiri Bold ana mizigo mingine katika 'stock' yake.

Basi sawa ngoja niwe mtulivu mizigo hii inanifanya hata nisahau kazi za hawa mabosi wangu Wachina ghorofa ya pili, wao utasikia shie shie, xzuha xijaoula ,whei meuyoh, potuoghwah meuyooh
 
Back
Top Bottom