Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Ndio maana Magu anasema tumuombee na nafurahi kuona vyombo vya ulinzi na usalama vinawajibika kwa Serikali iliyopo madarakani na sio kusikiliza Asasi za kiraia,Media na Chadema wanataka nini.Maana hawa ndio rahisi kutumiwa sababu ya uchu wa madaraka natamani siku moja niandike mada juu ya uzalendo wa nchi na namna ya kuepuka watu kama hawa ila napenda sana kusoma kuliko kuandika.
Ubarikiwe mleta uzi natumai kuanzia sasa utaisapoti Serikali iliyopo madarakani na kuachana na maneno ya wanasiasa uchwara.

Mkuu, haa mym,
Umeongea jambo kubwa sana sema akili kubwa tumekuelewa.

Ni Kweli, nami naandaa hasa juu ya kinachoendelea hapo Bongoland kwa vijana kujitoa ufahamu na kuona kuwa vyama vyao vya siasa ndiyo utaifa badala ya nchi yetu kuwa utaifa wao.

Pamoja sana.

Shusha nondo mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: cdc
Inauma jinsi walivyomuua gadafi

Ndiyo Kama Haya aloyoeleza hapa Nifah, ndiyo aliyofanyiwa Gaddafi.

Leo, waulize walibya wanajuta kama vifaranga ambao mama yao kachinjwa kwani kwa kumuua rais wao, leo hii USA wanajichotea mafuta kwa mikono minne!!

"Maafrika ndivyo tulivyo" ni Shida sana, tusipojitambua.
 
Mkuu, haa mym,
Umeongea jambo kubwa sana sema akili kubwa tumekuelewa.

Ni Kweli, nami naandaa hasa juu ya kinachoendelea hapo Bongoland kwa vijana kujitoa ufahamu na kuona kuwa vyama vyao vya siasa ndiyo utaifa badala ya nchi yetu kuwa utaifa wao.

Pamoja sana.

Shusha nondo mkuu.
Kwa ufupi tu kwa akili za hao uliowazungumzia nawaza tu itawachukua miaka mingapi kuwa hata japo 1/10000000 ya uzalendo wa hawa watu wa CIA. Kwa sababu wamefikia hatua hatua ya kumfanya yule dada yao aliyekimbilia Marekani kuwa ndo rais wao yaani ndo mwenye final say juu ya nchi hii. Licha ya madhaifu yote serikali iliyonayo lkn ni upumbavu wa hali ya juu kuendeshwa na mpu.mbav km huyo dada yao alieko ughaibuni. Watz tumelisahau kabisa taifa letu kumeweka mambo ya kipuuzi mbele yan kilichonikasirisha zaidi ni kuona wasomi kabisa kwenye group letu la graduates wamekomalia kimsubiria dada yao apost kitu kwenye insta eti ndo kiwe mjadala wa group watz akili zetu zinatia mashaka sana Mungu atusaidie tu
 
Nifah nimeikubali post hii. Big up maddame!!
Ktk andiko hili nimejifunza mambo mengi sana, moja wapo ni kwamba unapo pursue dream yako no kukata tamaa. Plan A ikifeli ipo plan B coz baada ya yule dikteta kwa kwanza kutoa siri wangeweza kukata tamaa ila jamaa walikomaa mpaka kifanikiwa.
Pia wakati nasoma nlikuwa najaribu kupimanisha akili zetu za kiafrika na hawa jamaa. Nkajuliza ni akili ngap zetu tuzimultiply ili tupate akili moja ya hawa jamaa? Cjapata jibu
Finally naomba unikumbuke kwenye tag list yako
 
the bold usimpe mimba mapema huyu bibie ataanza kukwambia uwe unaandika story za ukuaji wa mimba yake tu mambo makubwa kama haya hatutayapata
natania lakini fact zimeletwa kisomi na sisi akina bashite tunaokota vitu hapa
 
Kwa ufupi tu kwa akili za hao uliowazungumzia nawaza tu itawachukua miaka mingapi kuwa hata japo 1/10000000 ya uzalendo wa hawa watu wa CIA. Kwa sababu wamefikia hatua hatua ya kumfanya yule dada yao aliyekimbilia Marekani kuwa ndo rais wao yaani ndo mwenye final say juu ya nchi hii. Licha ya madhaifu yote serikali iliyonayo lkn ni upumbavu wa hali ya juu kuendeshwa na mpu.mbav km huyo dada yao alieko ughaibuni. Watz tumelisahau kabisa taifa letu kumeweka mambo ya kipuuzi mbele yan kilichonikasirisha zaidi ni kuona wasomi kabisa kwenye group letu la graduates wamekomalia kimsubiria dada yao apost kitu kwenye insta eti ndo kiwe mjadala wa group watz akili zetu zinatia mashaka sana Mungu atusaidie tu
Tena aibu sana watanzania wanaongoza na akili za muuza chiu aliye ughaibuni.
 
  • Thanks
Reactions: cdc
Hivi mbali na CIA hawa wengine hawana covert operations zilizofanikiwa na ambazo zinazidi kufanikiwa na zenye malengo makubwa na sisi black naona CIA siku hizi wanatabia za kuzira wakijulikana mbinu zao
 
Asante Sana kwa elimu yako iliyo nifungua macho sasa ndo naielewa marekan ila naomba hata baada ya wiki ukue unatupa hata stori moja.
 
Hata hapa kwetu wapinzani wanatumika na hiyo SAD kuanzisha psychological war against rais Magufuli kwani anawabania mapebari maslahi yao
 
Hongera sana Madame Nifah!

Umeifanya asubuhi yangu leo ianze vizuri baada ya kupitia uzi huu!
 
CIA ineteresting story yao ni kifo cha Kennedy
Kennedy aligundua CIA ni kama taifa ndani ya taifa
wanajiamulia mambo mengine wenyewe
akaapa kuivunja...akauawa wiki ile ile aliyoapa kuivunja....
Ipo humu hiyo story? Naomba link yake kama ipo
 
Back
Top Bottom