SDG
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 7,631
- 8,074
Naona ile terminology 'UBUYU' imekua maarufu na sasa itasanifishwa ila what I believe wewe ndo MUASISI wa UBUYU![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Udaku sunna ati.! Naanzaje sasa kuacha![]()
Naona ile terminology 'UBUYU' imekua maarufu na sasa itasanifishwa ila what I believe wewe ndo MUASISI wa UBUYU![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Udaku sunna ati.! Naanzaje sasa kuacha![]()
Bold: Ni nchi gani hiyo?Nimependa story hii pia inatufundi kuona nijinsi gani wenzetu walivyo wazalendo kwa nchi zao hasa wamalekani sisi huku njaa sana hadi tuko ladhi kusaliti nchi zetu kwasababu ya njaa
Ile avatar/Display picture yako ya Mwanzo ndiyo nzuri bana.Good Madam Nifah.
Story nzuri japo sijaisoma.
Ngoja nikoment then nikaisome nadhan ipo bomba. Maana hamjawahi kutuangusha.
Hahahaha L na R janga la kitaifaBold: Ni nchi gani hiyo?
The rest: Umeandika kitu kizuri lakini makosa ya uandishi yameharibu kabisa ulichoandika.....

Mnatia hasira sana nyie watu wa design kama yako,kwa nini u quote uzi wooote?..Jiheshimu,acha ufala.Stori nzuri sana hii
Mbona hii ikobomba pia brooIle avatar/Display picture yako ya Mwanzo ndiyo nzuri bana.
Kama ipo bomba ni sawa!Mbona hii ikobomba pia broo
Unanishaurije.
Hahaaaaaa nyie ndio wale wale mlionifanya niitoe ile picha.Kama ipo bomba ni sawa!
Binafsi naipenda ile ya mdada fulani hivi "Kama kaona aibu vile".
Hapana.Hahaaaaaa nyie ndio wale wale mlionifanya niitoe ile picha.