Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Ulimwengu mzima kiganjani mwa CIA

Watu na fani zao Cia sio watu wa mchezo makala kama haya yanakupa idea how deep they operate kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi za ku install security equipment kwenye nyumba za watu mitaa ya Woodbrige Va, arlington Va, alexandria Virginia, nikakutana na jamaa mmoja ambaye alikuwa retired Cia agent alinipa story nyingi na mambo aliyofanya matata sana kidogo nikatae kuondoka nisikilize story ..... good job dada Nifah

Asante kwa pongezi bro


Siku moja jitahidi basi ushee nasi hata stori chache tu! Nimetamani kujua aisee ulichosimuliwa
 
Ndio maana Magu anasema tumuombee na nafurahi kuona vyombo vya ulinzi na usalama vinawajibika kwa Serikali iliyopo madarakani na sio kusikiliza Asasi za kiraia,Media na Chadema wanataka nini.Maana hawa ndio rahisi kutumiwa sababu ya uchu wa madaraka natamani siku moja niandike mada juu ya uzalendo wa nchi na namna ya kuepuka watu kama hawa ila napenda sana kusoma kuliko kuandika.
Ubarikiwe mleta uzi natumai kuanzia sasa utaisapoti Serikali iliyopo madarakani na kuachana na maneno ya wanasiasa uchwara.


mkuu unataka nianze kutoka povu naona..
 


mkuu unataka nianze kutoka povu naona..
Nakufunza uzalendo kwenye bandiko lako kuna mazingatio ndani yake kama tusipotilia maanani basi tutegemee yaliyomkuta Boko na Mamba yatamkuta hayohayo.
 
Nice, hawa jamaa wana control almost all the states in the world bila ya viongozi wa nchi husiku kugundua ama kujua but hawana njia mbadala ya kuwa against nao.
 
Great story!! Keep it up tupe nondo za kutosha at least twice a week
 
Dah natamani sana kujua kwa undani utata wa kifo cha Kennedy..
Story ya kifo cha Kennedy tutaongopeana tu, hakuna anayejua aliyemuua. Kuna conspiracy theories za kutosha kuhusiana na kifo chake. Watu wengi wanaamini stori inayowavutia na sio uhalisia maana hakuna anayejua uhalisia.
 
Back
Top Bottom