Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Kaizer unabiiiiiisha! unabiisha niseme huwa unapitia mlango upi kuingia jukwaa la chini Kongosho usdangyike!huyo kila siku kabla jhjaingia darasani huwa anaoma excuse mi ticha can I goo out!
sasa kwa kuwa mimi ni mwalimu bora na si bora mwalimu nikiona anachelewa kurudi darasani ndo huwa namfata!
 
Last edited by a moderator:
Kaizer unabiiiiiisha! unabiisha niseme huwa unapitia mlango upi kuingia jukwaa la chini Kongosho usdangyike!huyo kila siku kabla jhjaingia darasani huwa anaoma excuse mi ticha can I goo out!
sasa kwa kuwa mimi ni mwalimu bora na si bora mwalimu nikiona anachelewa kurudi darasani ndo huwa namfata!


Afadhali aisee mana alikuwa anabisha sana.......btw seems like ure a good teacher!!!!!!!!!!!!
 
Afadhali aisee mana alikuwa anabisha sana.......btw seems like ure a good teacher!!!!!!!!!!!!

yani wewe, Kaizer na RR ndo mmeichakachua hii useful thread namna hii? Ntakutia bakora za makalioni walah.
 
Last edited by a moderator:
Afadhali aisee mana alikuwa anabisha sana.......btw seems like ure a good teacher!!!!!!!!!!!!

Am the best. Na kwa mwanafunzi bora kama wewe, sitahitaji tuition fees. Try me.
 
Kaizer unabiiiiiisha! unabiisha niseme huwa unapitia mlango upi kuingia jukwaa la chini Kongosho usdangyike!huyo kila siku kabla jhjaingia darasani huwa anaoma excuse mi ticha can I goo out!
sasa kwa kuwa mimi ni mwalimu bora na si bora mwalimu nikiona anachelewa kurudi darasani ndo huwa namfata!

Maadili yanamruhusu mwalimu kumfuata mwanafunzi jukwaa la chini? Kweli Big Results Now inahuu.
 
Last edited by a moderator:
yani wewe, Kaizer na RR ndo mmeichakachua hii useful thread namna hii? Ntakutia bakora za makalioni walah.

Ulikuwa wapi siku zote mpaka tukachakachua thread yako?...........Kamwe RR hawezi ruhusu mtu mwingine anichape kwenye ma------!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Afadhali aisee mana alikuwa anabisha sana.......btw seems like ure a good teacher!!!!!!!!!!!!

ahahahhahahahhhaha mi bana wanafunzi wangu nawajua kwa mwandiko!
wakiwa hawapo tu najua kuna mtoro humu!
 
Ulikuwa wapi siku zote mpaka tukachakachua thread yako?...........Kamwe RR hawezi ruhusu mtu mwingine anichape kwenye ma------!!!!!!!!!!!!!

Ndo apo chacha ata mie najishangaa. Ila uyo mtu kuwa nae makini. Ukiona vipi unajua pa kunipata, right?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom