asee hommie....I back off,, nemic4u usintie majaribuni tafadhali
Mpnz huko pm ulikuwa unanisubiri mimi au Kaizer ?
Kulinda wevi wasikwapue vilivyo halali yangu...
Mpnz no one can still me from u.....and u know that!!!!!!
One of the best threads ever ......jamani Enzi hizo MMU.
Ishu si kuiba....ni mausumbufu...sasa dawa ni kukata vichwa...
Au tureport kwa mod....wapewe ban ya maisha kwa kusumbua sumbua wapenzi wa watu!!!!!
Maadili yanamruhusu mwalimu kumfuata mwanafunzi jukwaa la chini? Kweli Big Results Now inahuu.
Afadhali aisee mana alikuwa anabisha sana.......btw seems like ure a good teacher!!!!!!!!!!!!