Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
Kuna watu usipowataja hoja yako inakosa credibility kabisa. Lazima ma-legend kama Don Nalimison waandikwe ili kizazi kijacho kipate kuifahamu historia hii adhimu ya watu mashuhuri kama Don.Kwa hiyo mkuu,ili kusherehesha mada yako ukaona kuna ulazima wa kuchomekea jina la Don Nalimison 🤣
Anyway mkuu,haya mambo yanapasua sn kichwa..hata usije tena kuendelea yashanichosha kuyajadili😁....hebu rudia Kusema kimeumana🤣
Au nasema uongo ndugu zangu..!?😂😂😂