Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Ulijuaje mpenzi uliyenaye amekuacha?

Dah kuna manzi aliniacha eti kisa alikuja gero akakuta fegi kwenye tray. Akaniuliza unavuta fegi nikamwambia kwani ajabu?

Akasepa pale pale bila kuongea kitu nikajua masihara tu anarudi, hakurudi na mimi sikumtafuta baada ya muda nikafuta namba na hukuwahi kunitafuta miaka kama minne sasa imepita.
 
Siku hizi kila mtu anajikuta Nani sijui daahhh

God forbid [emoji26][emoji16]
Tumeyavuruga mahusiano wenyewe hata tusitafute wa kumlaumu, na ni sisi sisi wa kuyafanya yawe na thamani tena.
Ukipendwa pendeka.
 
Eti manyang'au[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ndo ukute right person umekutana nae ila sababu ya unyang'au wako hukumuona, sasa endelea kusubiri meli airport
[emoji16][emoji16][emoji16] dadeki

Kwa hii experience niliyonayo nikikutana na right person namjua ... Nanitulia kabisa nakuwa hearly halisi ... Ila tatizo haya mambo Ni betting tosha mkuu haya tabiriki
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sasa wajijusha kwa mtoto wa kike halafu mtoto wa kike anakuona Kama ndio umekwaama Sana kwake .... Unadhani if wajielewa kitakacho fuata Ninini !? Kama sio kumkimbia ?
Tatizo ni machaguo yenu, unalazimisha kupendwa then baadae unatafuta wa kumlaumu. Jilaumuni ninyi na nafsi zenu.
 
Dah kuna manzi aliniacha eti kisa alikuja gero akakuta fegi kwenye tray. Akaniuliza unavuta fegi nikamwambia kwani ajabu?

Akasepa pale pale bila kuongea kitu nikajua masihara tu anarudi, hakurudi na mimi sikumtafuta baada ya muda nikafuta namba na hukuwahi kunitafuta miaka kama minne sasa imepita.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mimi ningekuacha.
 
Tumeyavuruga mahusiano wenyewe hata tusitafute wa kumlaumu, na ni sisi sisi wa kuyafanya yawe na thamani tena.
Ukipendwa pendeka.
Unachokisema Ni sahihi ..but kuweza kuyafix ili jamii Iweze kuwa na mtazamo sawa Kama hapo awali hapo Kuna ugumu mzito Sana ...,[emoji16][emoji16][emoji16]

Tuishi tu hii dunia sio yetu
 
[emoji16][emoji16][emoji16] dadeki

Kwa hii experience niliyonayo nikikutana na right person namjua ... Nanitulia kabisa nakuwa hearly halisi ... Ila tatizo haya mambo Ni betting tosha mkuu haya tabiriki
Aaaah bwana we!! Acha kucomplicate maisha, we kuwa halisi tu na mtu wako utampata. Hayo mambo ya kuviziana ya nini maisha yenyewe mafupi haya!!!
 
Unachokisema Ni sahihi ..but kuweza kuyafix ili jamii Iweze kuwa na mtazamo sawa Kama hapo awali hapo Kuna ugumu mzito Sana ...,[emoji16][emoji16][emoji16]

Tuishi tu hii dunia sio yetu
It all starts with you.
 
Tatizo ni machaguo yenu, unalazimisha kupendwa then baadae unatafuta wa kumlaumu. Jilaumuni ninyi na nafsi zenu.
Espy [emoji16][emoji16]
Acha masihara basii Mimi siko hivyo kabisa nimlazimishe mtu anipende sheeeesh !!?! Kikojoleo anacho peke yake' au [emoji16][emoji16][emoji16] kwanza I believe mapenzi Ni hiyari ya mtu so haupaswi kumlazimisha mtu hisia zake zifanane na wewe endapo yeye anaona kuwa wewe haupo ndani ya moyo wake na kiuungwana unapaswa kukubaliana na Hilo kitendo cha kutokubali huo Ni ubinafsi
 
Espy [emoji16][emoji16]
Acha masihara basii Mimi siko hivyo kabisa nimlazimishe mtu anipende sheeeesh !!?! Kikojoleo anacho peke yake' au [emoji16][emoji16][emoji16] kwanza I believe mapenzi Ni hiyari ya mtu so haupaswi kumlazimisha mtu hisia zake zifanane na wewe endapo yeye anaona kuwa wewe haupo ndani ya moyo wake na kiuungwana unapaswa kukubaliana na Hilo kitendo cha kutokubali huo Ni ubinafsi
Basi tulia mtoto wa mtu akupende hadi ushangae, ubaki tu unajiuliza "hivi alikuwa wapi huyu siku zote?"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom