Ulijuaje kama Mungu hakuleta dini?

Ulijuaje kama Mungu hakuleta dini?

Adam hakuwepo? Kwa hivyo wewe chanzo chako ni nyani kama wazungu wanavyokwambia?
Jibu lako kwamba chanzo cha Mungu , muulize baba, baba atamuuliza baba yake. Mnyororo utafata nyuma mpaka mtu wa mwanzo kumza familia yako hapo itakupa jibu, yeye kaaanza vipi?
Chanzo changu baba yangu..!!
Mungu chanzo chake nini?? Mbona hili swali unalikwepa??

Haya sema sasa Mungu alitokea wapi?
 
Chanzo changu baba yangu..!!
Mungu chanzo chake nini?? Mbona hili swali unalikwepa??

Haya sema sasa Mungu alitokea wapi?
Baba yako chanzo chake nani? Babu yako chanzo chake nani?
 
Chanzo changu baba yangu..!!
Mungu chanzo chake nini?? Mbona hili swali unalikwepa??

Haya sema sasa Mungu alitokea wapi?
Kwa kutumia akili tu:

Kila kilichoumbwa kina Muumba.

Lakini Muumba wa vyote lazima awe hakuumbwa.

Huyo ndiye Allah – wa milele, wa kwanza, asiyehitaji kitu chochote.
CHANZO CHAKE NI HICHO
 
Kwa kutumia akili tu:

Kila kilichoumbwa kina Muumba.

Lakini Muumba wa vyote lazima awe hakuumbwa.

Huyo ndiye Allah – wa milele, wa kwanza, asiyehitaji kitu chochote.
Wewe akili huna malaria sasa unatumia ipi?
Km umeshindwa kusema Allah katokea wapi?

Halafu kuna sayari nyingine ukitoa hii dunia tunayoishi mimi na wewe, vipi na hizo nazo kaumba Allah au huko kuna Allah mwingine??
 
Wewe akili huna malaria sasa unatumia ipi?
Km umeshindwa kusema Allah katokea wapi?

Halafu kuna sayari nyingine ukitoa hii dunia tunayoishi mimi na wewe, vipi na hizo nazo kaumba Allah au huko kuna Allah mwingine??
Subiri akikuondosha ktk dunia hii ndio utajua kama hujui
 
Chanzo cha Allah hamna anaekijua. Na hutakiwi kukijua utaumiza kichwa bure kukijua
Kwahiyo Allah hayupo? Sasa kwann wewe unasema uongo kwamba Allah kaumba dunia na watu wakati hata chanzo chake hukijui..!!

Hii inamaanisha hata kumjua humjui huyo Allah ni wewe umesoma ngano za kale sheikh malaria??🤔
 
Kwahiyo Allah hayupo? Sasa kwann wewe unasema uongo kwamba Allah kaumba dunia na watu wakati hata chanzo chake hukijui..!!

Hii inamaanisha hata kumjua humjui huyo Allah ni wewe umesoma ngano za kale sheikh malaria??🤔
Kama unashindwa mvunguni mwako kujua kuna nini utamjua chanzo cha Allah?
 
Kuondoka sote tutaondoka km tulivyokuja bila ya kujitambua…!! Au wewe ulijua siku ya kuja kwenye uso wa dunia?
Swali hilo jiulize wewe. Kama unataka ujue chanzo cha Allah,wakati jambo dogo la kujua lini utakufa hulijui . Huo si akili za kuku
 
Inategemea dini gani,
Yesu wa Ukristo na Issa wa Uislamu ni watu tofauti ila wana baadhi ya mambo yanayofanana kama uwezo wa kutenda miujiza na wote kuwa Wayahudi
 
Yesu wa Ukristo na Issa wa Uislamu ni watu tofauti ila wana baadhi ya mambo yanayofanana kama uwezo wa kutenda miujiza na wote kuwa Wayahudi
Inategemea unatumia akili gani kutafautisha. Kama ya kuhadithiwa kila j2 utaona utafauti. Ukizama ktk ilmu utaona ndio huyo huyo lkn upande mmoja wamemtukuza yaani waislam na upande wa pili wamemtukuza na kumdhalilisha
 
Back
Top Bottom