- Thread starter
- #41
Chanzo chako nini wewe? Unakijua?Sasa km hujui ilitokea vipi kwann unabisha? Kwani si kila kitu kina chanzo chake? 🤔
Chanzo chako nini wewe? Unakijua?Sasa km hujui ilitokea vipi kwann unabisha? Kwani si kila kitu kina chanzo chake? 🤔
Yupi?Sio Mungi, ni Mwenyezi Mungu
Wakati anaumba mbingu na ardhi yeye alikaa wapi?Akili za kuku hizi.
Yeye ndie alieumba mbingu na Ardhi. Wewe kama unaweza zishushe mbingu chini
Tatizo lenu wafia dini, mnashindwa kukubaliana kuto kukubaliana (Agree to disagree).Ulijuaje kama Mungu hakuleta dini? Huyo Mungu ulimjuaje kama yupo?
Surat Al-Baqara (2:132)
Hujui kituNilipojua Yesu na Issa ni watu wawili tofauti kabisa
Du kitambo we fala kumbe upo JF ...mbona nilikuwa nakutag lakini kimya😁😁😁 mambo ya dini niulizeni mimi niwape ilimu sahihiUlijuaje kama Mungu hakuleta dini? Huyo Mungu ulimjuaje kama yupo?
Surat Al-Baqara (2:132)
Akili za kuku hizi. Jiulize weye kwanza. Kabla ya kuja duniani ulikuwa wapi?Wakati anaumba mbingu na ardhi yeye alikaa wapi?
Taratibu punguza munkari twende kwa fact malaria buana..!! 😹
Nawauliza nyie mliyesema Mungu yupo na baadae mnakataa hayupo??Chanzo chako nini wewe? Unakijua?
Swali zuri binti.Sasa km hujui ilitokea vipi kwann unabisha? Kwani si kila kitu kina chanzo chake? 🤔
Ndio wakiristo na waislam wanaamini Mungu tafautiTatizo lenu wafia dini, mnashindwa kukubaliana kuto kukubaliana (Agree to disagree).
Wakristo wana Mungu wao, na waislam wana Mungu wao. Japo kuwa story ya mmoja inataka ifanane na story ya mwingine.
Kila mmoja anaclaim Wake ndo mkubwa wa wote, hapo ndo tatizo linapo anza.
Nani kwakwambia Mungu hayupo? Ungalikunya wewe?Nawauliza nyie mliyesema Mungu yupo na baadae mnakataa hayupo??
Hebu chagueni upande ndo tubishane kwa hoja, hii kugeuka geuka km vinyonga mnatuchanganya??
Haya sasa, Mungu yupo au hayupo??
Sikujua nilipokuwepo nilishangaa nipo duniani.. ila kwa maelezo ya wazazi wangu walisema nimetokana na wao..!!Akili za kuku hizi. Jiulize weye kwanza. Kabla ya kuja duniani ulikuwa wapi?
Qur’an – Surat Al-Hadid (57:3):Sikujua nilipokuwepo nilishangaa nipo duniani.. ila kwa maelezo ya wazazi wangu walisema nimetokana na wao..!!
Jibu swali sasa, Mungu chanzo chake kipi??
"Yeye ni wa kwanza na wa mwisho, wa dhahiri na wa siri; na Yeye ni Mjuzi wa kila kitu."
(Sahih Muslim)"Mfikiriye Allah kwa sifa Zake, wala msimfikirie kwa dhati Yake (haka zetu haziwezi kumfikiri)."
Miungu ipi sasa ambayo haina mapungufu ilitengeneza dunia??Lakini chanzo hicho hakiwezi kuwa hii miungu iliyotengenezwa na binadamu. Ina mapungufu
Mungu ni mmoja tuMiungu ipi sasa ambayo haina mapungufu ilitengeneza dunia??
Huwezi kutetea hoja yako kwa kutumia vitabu vya Quraan vilivyoandikwa na binadamu ambao nao hawajui chanzo cha Mungu sheikh malaria..!!Qur’an – Surat Al-Hadid (57:3):
Mtume Muhammad (SAW) alisema:
(Sahih Muslim)
Muulize Adam aliezaliwa mwanzo. Bora kuku anaakili kuliko wewe.Huwezi kutetea hoja yako kwa kutumia vitabu vya Quraan vilivyoandikwa na binadamu ambao nao hawajui chanzo cha Mungu sheikh malaria..!!
Hivyo vitabu vina uongo mwingi, ukijua chanzo cha Mungu utanishtua naona unaanza kusinzia dose tuliyokupa kali..!!
Mungu huyu aliyebuniwa na watu Mashariki ya kati?Ulijuaje kama Mungu hakuleta dini? Kama hakuleta dini ulimjuaje kama yupo?
Surat Al-Baqara (2:132)
Yupi huyo? Anaishi wapi? Na chanzo chake kipi??Mungu ni mmoja tu
Tambua kwamba "mungu" ni dhana ambayo binadamu aliitengeneza kuufafanua ulimwengu.Miungu ipi sasa ambayo haina mapungufu ilitengeneza dunia??