Ulijuaje kama Mungu hakuleta dini?

Ulijuaje kama Mungu hakuleta dini?

Mjinga wewe mpaka leo huwezi kukimbia kifo wala kuukimbia uzee
Kila chenye hai atakufa, atabaki Allah peke yake
images.png
 
😹😹😹 Infropreneur umesikia lakini maneno ya malaria huku??

Kwani unafanya nini mbona kijiwe kinapoa huku bhana, em muache wifi njoo ujibu fasta..!!
Hapa kuna mambo mawili.

1-Mungu .

2- Dini.

Kabla ya kuhusisha Dini na huyo Mungu.

Kwanza watu wanapaswa kueleza walijuaje huyo Mungu yupo?

Au wanafosi imani na mawazo yao ya kufikirika tu?

kabla ya yote wathibitishe kwanza kuna Mungu.
 
Inategemea unatumia akili gani kutafautisha. Kama ya kuhadithiwa kila j2 utaona utafauti. Ukizama ktk ilmu utaona ndio huyo huyo lkn upande mmoja wamemtukuza yaani waislam na upande wa pili wamemtukuza na kumdhalilisha
Mzee unaijua dini vizuri au unakaririshwa Madrassa..kati ya waislamu na wakristo nani anayemdhalilisha Yesu..nyie ndio mmekuja na story za uongo mpaka mnathubutu kusema mtume alionana na Mungu na wakati aliyeonana na Mungu ni Yesu pekee.Pia mnakaa madrassa mnaongopeana Yesu ni binadamu (How mad are you?).Hivi mnamjua vizuri Yesu? Ndio mana jamaa anasema Issa wa quran sio sawa na Yesu wa biblia.
 
Maana ya “Allah kumswalia Mtume”:

Swala ya Allah kwa Mtume haina maana kama swala ya mja, bali inamaanisha:

Allah anamsifu Mtume mbele ya Malaika wake.

Anamkumbusha kwa rehema, daraja na heshima kubwa.

Inatafsiriwa pia kuwa ni dua ya Allah ya kumtukuza Mtume Muhammad (SAW).
WAKIRISTO WENGI JF WATUPU KICHWANI KTK MASWALA YA DINI
Acha kutukana watu usiowajua kima wewe. Utasemaje wakristo wa JF watupu kichwani wakati wewe unamjadili mfu? Huyo Mudy anamzidi nini kanumba, nyerere au marehemu yeyote? Punguani wewe mwenye sura kama mataqo ya mudy
 
Acha kutukana watu usiowajua kima wewe. Utasemaje wakristo wa JF watupu kichwani wakati wewe unamjadili mfu? Huyo Mudy anamzidi nini kanumba, nyerere au marehemu yeyote? Punguani wewe mwenye sura kama mataqo ya mudy
Hao uliowataja wanajulikana na nani? Baada ya kuondoka umesikia wanatajwa tajwa na nani? China? JAPAN, KOREA, AMERICAN, AUSTRALIA? RUSSIA? UKRAIN? Hao wanatajwa kwa siku Mara ngapi? Mtume Muhammad kwa siku anatajwa kwa wema zaidi ya Mara bilioni 10, hio kwa siku au saa tu. NARUDIA KUSEMA WAKIRISTO WA JF WENGI WAO HUMU WATUPU KICHWANI. Mfano umeonyesha wewe kwa kioja chako butu
 
Hao uliowataja wanajulikana na nani? Baada ya kuondoka umesikia wanatajwa tajwa na nani? China? JAPAN, KOREA, AMERICAN, AUSTRALIA? RUSSIA? UKRAIN? Hao wanatajwa kwa siku Mara ngapi? Mtume Muhammad kwa siku anatajwa kwa wema zaidi ya Mara bilioni 10, hio kwa siku au saa tu. NARUDIA KUSEMA WAKIRISTO WA JF WENGI WAO HUMU WATUPU KICHWANI. Mfano umeonyesha wewe kwa kioja chako butu
Wewe ni kima kabisa, mpumbavu kama huyo unayemwabudu mfu mmoja. Huwezi kuwa na akili timamu ukatukana watu mataqo ya mudy wewe. Unahisi kumtaja mara nyingi ndio nini? Jitu limezaliwa na dhambi na lilikufa kama wengine walivyokufa. Tena ukiendelea kutukana watu kyuma wewe nitakutoa imani mkundyu wa mudy wewe.

Niquote tena, hii mada uifunge. Peleka udini huko makuburini mlikozika mzoga wenu
 
Kamuone dkt kwa ushauri wa saikolojia
Mkuu waamini wa hizo dini ndiyo wanawahitaji zaidi hao wataalamu wanaoshughulikia matatizo ya afya ya akili.
Haiwezekani wewe uchangie fedha ya kumnunulia gari kikngozi wa dini wakati wewe hata baiskeli hauna, hivi inaingia akilini kweli kupitisha harambee ya ujenzi wa nyumba ya kiongozi wenu wa kidini wakati aslimia tisini ya waumini ni wapangaji sugu.
Bad enough viongozi hao wa dini hutumia sadaka zenu na kuhonga wake zenu na kuwala watakavyo.
Afrika inatakiwa kuamka kuondokana na huu mfumo dhalimu wa kinyonyaji ulioitwa dini
Kamuone dkt kwa ushauri wa saikolojia
 
Mkuu waamini wa hizo dini ndiyo wanawahitaji zaidi hao wataalamu wanaoshughulikia matatizo ya afya ya akili.
Haiwezekani wewe uchangie fedha ya kumnunulia gari kikngozi wa dini wakati wewe hata baiskeli hauna, hivi inaingia akilini kweli kupitisha harambee ya ujenzi wa nyumba ya kiongozi wenu wa kidini wakati aslimia tisini ya waumini ni wapangaji sugu.
Bad enough viongozi hao wa dini hutumia sadaka zenu na kuhonga wake zenu na kuwala watakavyo.
Afrika inatakiwa kuamka kuondokana na huu mfumo dhalimu wa kinyonyaji ulioitwa dini
Waislam hatufanyi hivyo
 
Ulijuaje kama Mungu hakuleta dini? Kama hakuleta dini ulimjuaje kama yupo?


Surat Al-Baqara (2:132)
SITAWATUKANA WALA KUWAKASIRIKIA ILA NITAWAPA POINTS ZITAZOONGEZA MAARIFA KUMKICHWA!

Nilijua sababu hakuna huyo mungu mwenye sifa muzielezazo, na hivyo kama wanaadamu huwa tunathibitisha vitu kwa kutumia milango ya fahamu tuliyonayo na hakuna hata mlango mmoja ulowahi kuthibitisha kuhusu mungu basi ujue kuwa hicho kitu hakipo.

Siyo kila kisichothibitishwa na mlango wa fahamu huwa hakipo bali vingine huwa havijagunduliwa ila kuhusu mungu ni kitu ambacho mtu hahitajiki kufanya tafiti kukigundua kwa sababu ya sifa zake na matendo yake yanayoishiwa kuelezwa na mwanadamu.

Haiwezekani uniambie kuwa mungu aliushusha mwezi kisha akaurudisha tena angani kwa mujibu wa Qur-an kisha huwezi kuniambia mungu alimpatia mwanamke mimba pasipo mbegu za mwanaume hii ni kwa mujibu wa Biblia na Qur-an.Huyo Mungu Hayupo Wala Hakuna kitu kama hicho kinachoitwa mungu.

Na kama wewe una uhakika kuwa mungu yupo, jibu mungu yupo na ujitaje dini yako ili wakati ninakupa POINTS usiseme nimekuonea
 
Back
Top Bottom