Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,704
- 5,480
Ndugu zangu safari ya maisha ni ndefu sana kila mmoja ana safari yake, wapo waliotusua kwa mateso makali sana.
Wapo waliotusua kiurahisi hawa huenda walikuta tayari njia imeshatengenezwa hivyo kufanikiwa haikuwa kazi kubwa sana.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuwatia moyo wale ambao wanajiona muda umewatupa mkono, hivyo kuona mafanikio kwa ni ndoto yaani haiwezekani wamekata tamaa.
Embu nyie ambao mmejipata kisawa sawa tupeni uzoefu mlijipata mkuwa na umri gani?
Wapo waliotusua kiurahisi hawa huenda walikuta tayari njia imeshatengenezwa hivyo kufanikiwa haikuwa kazi kubwa sana.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuwatia moyo wale ambao wanajiona muda umewatupa mkono, hivyo kuona mafanikio kwa ni ndoto yaani haiwezekani wamekata tamaa.
Embu nyie ambao mmejipata kisawa sawa tupeni uzoefu mlijipata mkuwa na umri gani?