Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Kuna biashara moja hivi tulijaribu miezi ya mwanzoni hivi, tulitengeneza Faida ya 1mil+ ndani ya wiki tatu hivi, ila nisikufiche tulitumia ujuzi wa Ulimwengu wa roho, baadaye tukaona tutumie tu akili zetu na uzoefu maana wateja si tayari wapo, alooo.......walipungua na kuzidi kupungua, hapa tumeamua kutulia tu, tunalisoma soko halafu turudi tena kwenye ulimwengu wa roho.

N:B - Ulimwengu wa roho sio kupitia Shetani tu, hata kupitia njia za Mungu inawezekana.
Hiv unavyozungumzia principle za ulimwengu wa kiroho unamaanisha mambo ya ulokole au what do you mean?
 
Usichoke.. ....Pesa hujaga tu kuna siku flani.
Yah uko sahihi.
Niko kwenye service buzness. Siuz tangible products but service ambapo unawekeza pesaa na nguvu kaz zaid.
It is the 2nd year sasa toka nimeingia kwenye hii buznes running from -ve, angalau kwa sasa imeanza kuwa na average return kati ya 1.8m to 2.2m monthly amd the number keep on rising the more you enroll more clients.

Aisee, biashara halali hiz ni ngumu sana sio kitoto. Biashara halali ndio maana sio kila mtu anaweza
 
Yah uko sahihi.
Niko kwenye service buzness. Siuz tangible products but service ambapo unawekeza pesaa na nguvu kaz zaid.
It is the 2nd year sasa toka nimeingia kwenye hii buznes running from -ve, angalau kwa sasa imeanza kuwa na average return kati ya 1.8m to 2.2m monthly amd the number keep on rising the more you enroll more clients.

Aisee, biashara halali hiz ni ngumu sana sio kitoto. Biashara halali ndio maana sio kila mtu anaweza
Networking safi. Hata ulipo si haba. Hela nzuri
 
Softwares. Kukaa kwenye biashara toka haikupi kitu bali ni wewe ndio una inject pesa mpaka ifike hatua sio tu inakupa chochote bali iweze kuji balance kujiendesha then ianze kukupa retun baada ya kuondoa expenses sio kitoto
Kazi zote si mchezo mdogo wangu.
Una fremu, mbili, zinahitaji kodi mlima. Na mtaji wa mzigo, kila siku unaforce mzigo utoke. Kila siku unaforce upate mzigo kwa wakati.
Unafuga, mifugo muda wote inahitaji chakula.
Cha msingi ni kupambana. Ili kupata. Ww sasa hivi waza what's next to save your energy's.
Ila startup bussiness si mchezo.
 
Mtu akikuona leo hii unavyokula bata, maisha mazuri, usafiri mkali na biashara kubwa mjini, anaweza kudhani umefika hapo ulipo kirahisi rahisi tuu. Mimi mwenyewe nilikuwa nadhani hivyo!

Cha ajabu ni kwamba kila ninapojaribu kutia mguu kwenye biashara nachezea za uso mbaya kabisa najikuta natoka kapa. Mpaka muda huu nimeshajaribu zaidi ya aina 5 tofauti za biashara kuanzia bar, stationary, usafirishaji, kilimo, ufugaji nk na zote hakuna hata moja iliyofanikiwa walau hata kurudisha mtaji!

Nimebaki najiuliza nyie wenzetu mliofanikiwa kutoboa kibiashara je na nyie mwanzo mlichoma mitaji kama sisi? Hebu tupeni akili na sisi tutoboe.

NB: Usije na hoja za "fanya kazi kwa bidii".

Me ntakushauri kitu kimoja , Jaribu Online Business/Digital Business , Jifunze kutafuta wateja maana sababu moja kubwa ya msingi ya Biashara nyingi kufa ni kukosa wateja , Soma hii thread hope itakusaidia

Safari ya mafanikio inaanzia hapa
 
Check wataalamu wa nyota pia wachek biashara ipi ndio itashine na nyota Yako.
Unakomaa na jembe kumbe unatakiwa ukashine kwenye daladala.
 
Afafanue vzur apa.Maana kama muda wako wote wa kaz umewekeza kwenye hyo biashara,afu mwsho wa cku unambie kuwa familia ictegemee kwenye hyo biashara.Hyo biashara ndyo umeifungua kwa ajili ya nini sasa?
 
Back
Top Bottom