Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,975
- 9,723
Mkuu ulishashuka kwenye daladala utupe mawili matatu.Kwanza nilikubali nimepoteza pili nikaangalia nilikosea wapi tatu nikaanza upya kwa energy mara 10 yake. Nipo tu kwenye usafiri ila nikipata nafasi nitaandika.
Now am happy alhamdulillah