Ulianzaje kukaa gheto?

Safari yangu ya ghetto ilianzia pale nilipokuja mjini dar kutoka mbeya nilifikia kawe ghetto la mshikaji wangu huku nikiwa napiga kitabu NIT mabibo sasa kutokana najamaa angu kutaka mimi ndo niwe msafisha ghetto mpikaji nikaona miyayusho nikajichanga nikapata ghetto mabibo la elfu 35 kwa wanaopajua mabibo mabwawani nawale wahuni aibu!

Haaha ukipita wanauomba 200 ukiwanyima jiandae jioni unavorudi kutoka kuangalia UEFA haahhaha huku nikiendelea nakitabu na michakato yangu mabo hayakua mabaya nikavuta ghett sinza madukani nikahama mabibo nikawa mtu wa sinza huku nikiendelea namichakato yangu mana masomo yakasimama akati nipo 2rd year ivo nikajikita zaidi katika michongo nikawa mkulima nikawa natumia fursa inayopatikn kama kipindi cha korosho nazama kusini kama kipindi cha mpunga naingia kyela mbeya namshukuru Mungu saivi nimehamia bunju nalipa 150k per month na nina kijikampuni kinachohusiana na aluminium.

mwisho wa story
 
Wakuu mambo vipi,,Leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyo chomoka Nyumbani kwao..Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.

Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani ,mbaya zaid anasubir kazi..alaf kazi zenyew haijulkani utapata lini.

Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home...Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.

Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo...mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani..inakata sana hii

Tukija kwenye maisha ya kujituma tu..sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure,unalala bure,kila kitu bure..hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..

Pia inakata sana..pale wanao unakuta wapo na mageto yao..lakin wewe kwako ni tofauti.

Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza..

##Mimi binafsi geto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo,,,nakumbuka nilipata room ya elf 50 nikaanza nayo kibish,nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6,nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu...geto bila mziki sio geto ni choo,kujichek mfukoni boom likawa lishakata...basi nikaendelea kuishi geto hadi namalza chuo geto likawa limesheheni tu...
sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi hom..ujinga niliofanya ni kurud hom na baadhi ya vitu niliviuza...Kasheshe ndio ipo saiz..wakuu hom akili inalala,,vibe yote hakuna ,hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana..hop ndan ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.

Sasa share kitu basi nawewe..

#Nini lilikusukuma usepe home?
#Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
#Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?
#Maisha yalkuaje since day one?
#Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
#ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
#Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?

Karibuni wakuu..

View attachment 878774

By the way uzi ni wa 2018( almost a year now), tupe progress na experience umefikia wapi sasa mkuu?
 
MI NAKUKMBUKA NILIPOMALIZA CHUO 2017 DIPLOMA YA ELECTERICAL ENGINEER (DIT) NILIKAA HOME MWAKA MZIMA BILA MISHE NILIFANYA VITU VINGI KILIMO NKAPAMBANA ILA MAMBO HAYAKUA SAWA BAADAE NKARUSI TOWN 2018 MWEZI WA SABA NKAPATA JOB SEHEMU FLANI HV NKAWA NAKIMBIZA KM KW MWEZI WA TISA NKAPANGA NILIKUA NABIBIE WANGU MMOJA NAE NILIMWACHA MIAKA KM MIWILI NYUMA AKIWA DIT YULE MANZI NKAMUALIKA GHETTO TULIKUA TUNAISHI VZURI TU NKAWA NA MSISITIZA KWENDA AZINGATIE MASOMO NA KWELI ALIKUA ANAJITAHDI SANA TENA SANA SHIDA AKIJA ALISTOPISHWA CHUO KISA ALIPATIKANA AKICHEAT KWENYE PAPER AKA DISCO TUKAISHI WOTE HVYO HVYO MI NAAAMKA KAZINI YE YUKO HOME NKIRUDI TUBASHAURIANA CHAKUFANYA NA KIPI TUSIFANYE TUKAENDA HVYO HVYO YULE AMANZI AKAANZA KUNIPANDA KICHWANIBMARA NSITOKE YSIKU MARA HVI AKATI KAZI ZETU 24/7 NKAONA HUYU TUTASUMBUANA BHAC IKAANZA MIGOGORO AMBAYO HAINA TIJA HAPO MWAKA JANA MWEZI WA KUMI NA MOJA HVI 2018 SIKU NIKO KAZIN NAPEWA TAARIFA YULE MANZI WAMEMCHAMBA MAMA MWENYEWE NYUMBA DAAH NILIUMIA SANA KWANIN KAFANYA VILE NILIMKANAYA ILA AKAANZA UJEURI MARA SIKU KAZAA TUKAPEWA NOTICE YA KUHAMA ILA NILIMWOMBA BABA MWENYE NYUMBA ANIPE KM WIKI HV NITAFTE ROOM INGINE BHAC SIKU NIKO KAZINI NAFANYA MISHE MISHE DEMU WANGU AKANIPIGIA SIMU TUMEAMBIWA TUHAME SIHUI HV SIJUI VILE BHAC KILICHOFUATA JIONI ALIKUA ANANIPIGIA SIMU OH TUHAME LEO TUHAME YAN KILAZIMA AFU MI PESA YANGU IJAINGIA BADO BHAC AKACHUKUA VITU VYOTE AKASEPA NAVYO AISEEE NILIUMIA SANA Y KAFANYA VILE NA KWANIN SASA MTIHANI UKAJA KURUDISHA VILE VITU UKAWA MGGORO MKUBWA NKAJA NKAPIGA CHINI TUKAACHANA NIKAENDELA NA MAISHA YANGU HOME SA HVI NAJIPANGA KUPANGA TENA ALINIRUDISHA NYUMA ILA NAMSHUKURU MUNGU NIMEPATA VITU VINGINE NA MAISHA YANASONGA

Manzi kakuzima vitu vya ndani? Dah

Yani kaenda kukodi Carry/ Canter intetionally kabisa aje asombe vitu, aisee mamanzi wa DIT wameshindikana..
 
wazee, geto naenda uu mwaka haukati kabisaa, na nina uhakika wa chapaa.

ila wazew ii ya kupika na kufua, na hasa hasa kudeki itanitia kwenye matatizo na sitaki kuoa saivi, na mke wangu nataka nizzd ata miaka mitano.

saiv nina 22, naemzd miaka mitano ana 17 saivi, uku kupika wazee, kutanipeleja pabaya kabisa, na lazma nijitegemee tu, ila awa mademu ua nawaogopa sana.

Akiona una uwezo wa kum handle anweza kukubambikizia mimba, au kukung'ang'nia kabisa, ngoja nione ii movie ya kupka na kufua itaishia wp
 
Nakumbuka kupitia thread hii nilisema mwezi wa 8 mwaka jana nitapanga chumba coz kila kitu kipo tyr

Nilisogeza siku kwakuwa nlkosa chumba nkitakacho(stak nkae na mwenye nyumba)

Niliingia kupanga mwaka huu February....nikiwa na kitanda cha mbao...gesi...meza ya kshkaji....tray za vyombo na sabufa

Nikapigana kuongeza tv...nkabadlsha kitanda...!!nkachukua na feni....na mambo yakikaa fresh ntachukua kabati

Kupanga inawezkana ukiamua kutoka moyoni....unajifunza maisha lkn pia inakupa heshima...kwenye familia...mtaan na jamii kwa ujumla

Now kila nkitoka mishe nkiingia tu kwangu hua nasahau kabisaa shida zoteView attachment 1178279
IMG_20190803_152203.jpeg
 
Vijana wenye option ya kurudi nyumbani baada ya chuo huwa mna changamoto sana, chuma kikipata moto tu unarudisha mpira kwa kipa, kwa wenye mazingira ya “you are on your own” soon baada ya kuanza au kumaliza chuo huwa hawapati shida hapa, maana kwao there is no turning back
Back to your questions

Kitu nachoweza kuwashauri wadogo zangu( na wengine rika yangu) ni tafuta mishe za hapa na pale kabla hujamaliza chuo, kazi za kuajiriwa chache sana siku izi, tegea boom limetoka chukua laki 1 or 2 au zaidi kulingana na mtaji wako nenda kasort mzigo wowote mzuri kariakoo iwe Sandal, phone covers nguo or viatu visimple or chochote chuo kwenu ongeza elfu 2, 3 hadi 5 kwa kila product utapata faida, tumia advantage ya kua chuo ikupe chochote, ujasiriamali sehemu kubwa ni kununua kitu point A na kukiongezea thamani au kukiuza kama kilivyo point B, toa kwenye supply ndogo peleka kwenye demand kubwa. HIVYO TU.

Otherwise jitahidi kutafuta connection ya issue za proffesional yako uanze kuomba vikazi vya hapa na pale kwa waliokutangulia mapema, lengo ni uwe na kipato hata kidogo au na kitu cha kufanya soon ukimaliza, by the way Gheto ni kitu kidogo sana, hizi njia zitakupa more than Ghetto in couple years

Kama umesharudi home kwa bahati mbaya au intentionally usipanick wala usiwe na haraka kurudi geto bila plan ya uta survive vipi, hela ya kwenda kuanzia kupanga ifanye mtaji, assess opportunity zinazokuzinguka na uone namna ya kuzitumia, home ni hapa Dar na kuna space fuga hata kuku wa mayai au nyama wana demand kubwa sana mjini. Fanya chochote halali applicable mazingira ya home/ tumia mazingira yako kujitengenezea kipato
BTW, Unajua kuna watu wanaishi kwa kupikia/ kuuza Biriani nyumbani na kufanya delivery hata physical place hawana? Yani hata hawapiki wao wametafuta tu mpishi wao wanatumia social medias zao kutafuta wateja hata kwa whatsapp status tu?

Just for inspiration. Tupo watu tumemaliza chuo miaka miwili mitatu iliopita, hata hela ya kuprint research na kufanya graduation haikuwepo but tunakomaa mtaani na leo hii nina Sehemu yangu comfortable ya kuishi, Kibiashara changu cha kunipa mkate wa siku( with plans za kuexpand biashara), nimeshapata usafiri wa kurahisisha movement za hapa mjini, heka mbili nje ya mji, na saizi natafuta hela ya kiwanja huko Dodoma but hadi sasa sijaajiriwa popote na kwa ajira za sasa serikalini zilivyo naweza nisi apply at all

Pita kwenye magroup ya ujasiriamali kuna biashar zinazohitaji small inital capital but ukitega pazuri una uhakika wa kupata chochote, kuna chips na nyinginezo.

Tujitahidi kutumia mazingira yanayotuzunguka kujitengezea kipato, ajira zikija iwe ni nyongeza tu
Shukran mkuu kwa mawazo yako...hop yatasaidia na wengine ..bless
 
Safari yangu ya ghetto ilianzia pale nilipokuja mjini dar kutoka mbeya nilifikia kawe ghetto la mshikaji wangu huku nikiwa napiga kitabu NIT mabibo sasa kutokana najamaa angu kutaka mimi ndo niwe msafisha ghetto mpikaji nikaona miyayusho nikajichanga nikapata ghetto mabibo la elfu 35 kwa wanaopajua mabibo mabwawani nawale wahuni aibu!!! Haaha ukipita wanauomba 200 ukiwanyima jiandae jioni unavorudi kutoka kuangalia UEFA haahhaha huku nikiendelea nakitabu na michakato yangu mabo hayakua mabaya nikavuta ghett sinza madukani nikahama mabibo nikawa mtu wa sinza huku nikiendelea namichakato yangu mana masomo yakasimama akati nipo 2rd year ivo nikajikita zaidi katika michongo nikawa mkulima nikawa natumia fursa inayopatikn kama kipindi cha korosho nazama kusini kama kipindi cha mpunga naingia kyela mbeya namshukuru Mungu saivi nimehamia bunju nalipa 150k per month na nina kijikampuni kinachohusiana na aluminium. ... mwisho wa story
Kutoka 35 hadi 150 mkuu,umepambana sana

Hapo funzo kubwa ni kujituma na harakati tu.. mambo yanakua sawa kabisa

Hongera sana mkuu.. big up kwa inspiration
 
Nilichelewa kujitengemea si kwamba uwezo sikua nao hapan ni ile tu unakaa na mshikaji mnaelewa hadi kujisahau make kampani ile,
Nilikuja kushituka shuka kumekucha mshikaji tupo kwenye aninitonya mwamba mm nataka kuoa mzee,nilikua ni kitu naiona make demu alikua anamganda kinoma kademu ndo kamemaliza chuo,lakin nakuomba tuendelee kuhishi wote mzee shemeji yako hasikufanye tutengane.
Nikamwambia husijali,hapo ata pesa ya mahari haijatimia na anatafuta.
Nikampatia 200k akaongezea tukafunga safari kwenda kuchukua jiko,ndoa ikafungwa make za kiislamu hamna coplication sana.
Baada ya ndoa tukaamsha kesho yake kurudi mji tuonaoishi,ile tunafika usk jamaa anashuka kwenye gari kwenda na shem mm nikamwambia nitakuja kesho yake ngoja leo nikalel kwa mshiji mwingine,
Nyumba ilikua kubwa lakn sikutaka kuishi pale sababu wanawake hawa kukaa nao karibu unaweza kukorofisha na mshikaji wako na mwamba hawezi kuchukua upande wako pindi tayari anamke.
Ule usk nikaenda kulala na rafiki yangu mwingine na kuanza kuishi hapo,Hapo nikaona sasa ndo mda wa kuanza kujitegemea.
Nikapata kama lak 6 niliosave ya mshahara nikatengezesha bed sofa na nikapata mia 3 nikanunua godoro 6*6 inchi 10 nikavileta pale kwa mshikaj make nyumba ilikua nzima kila akawa nalala chumba chake,
Sema kitanda alitengenzea dizani sikuipenda,kwa hiyo nikawa nalala nikisema nitakibadili tu make nilikua nasema siku nikiwa nakwangu nataka kulala sehemu nzuri.
Bas badae ule mkoa nikaona kama unapwaya kidogo na kaz zangu kule nalipwa kidogo,Nikaona sana ni mda muafaka wa kuamia mjizi aka Dzm.
Nikaja dar bila kaz na kufikia kwa msikaji make mwz niliacha bila ata kufukuzwa,week moja badae nilipata kaz ilikua inalipa vzr kiukwel,
Nikafanya mpango wa kusafilisha vitu vyangu toka mwz mapak dzm,nilikua nimejipanda kwamba kitanda lazima kifikie kwa fundi nitengezewa ninayopenda make yule jamaa alikua fundi sofa na sio fundi wa bed sofa,
Baada ya vitu kufika tu gari likashusha kitanda kwa fundi godoro nikapeleka home make hapo nishalipia na kodi ya miez mitano,
Nilipanga karibu na kazn kwa hiyo sikua nilikua nikitembea kwenda kzn.
Baada ya kuweka godoro jmos ya hiyo week nikaenda kariakoo kununua shuka pamoja na pazia nikaweka ndani na maisha yakaanza uku nikilala chini make kitanda kilichukua week mbili kukamilika.
Baada ya mda kikamilika dah nikawa najifurahia likitanda likubwa mwenye make dah kua na kwako raha sana.
Nikanunua redio sabufa nzuri tu make uwezo wa home theater kwa mda ule sikua nao,badae tena nikanunua kabati la nguo nikajipanga tena miezi miwili tena ninanunua zangu tv inchi 55 nikaweka ukutani,hahaa live likawapoa sana nikawa naenjoy ndani kwangu.
Sikutaka vitu vingi ndani kwangu labda mpaka pale nitakapo panga nyumba nzima kali nilitaka pawe smart sana.
Sikua na jiko wala chombo chochote make nilisema ile ilikua sehemu ya kulala.
Mwisho wa siku nikapata sehemu ya kulala nilikua nikitamani,nilikua na heshimu sana pesa kipindi icho siku hizi hiyo heshima sijui imeenda wapi.
Make ndio Nini mkuu?
 
By the way uzi ni wa 2018( almost a year now), tupe progress na experience umefikia wapi sasa mkuu?
Kwa sasa mkuu nilifanikiwa kuchomoka mwezi wa 4 mwaka huu..nikapata room kimara

Nilichokiona ni uwoga tu ndio ulinisumbua pia..kwa sasa nakimbiza harakati zangu ,na uzur mim ni expert wa software za simu na computer basi hapa nilipo hamia nawapiga kweli kweli

Shukran ziwafikie wote waliochangia huu Uzi ndio wamenifanya nitoke tena kwa kipa mkuu
 
Aaah hawa ndugu zangu Wanyamwezi alafu wanapenda ushirikina sanaaa yani acha tu mpaka mm waliniroga ila niliwafurahisha na mm siyo wa sport sport .
Ndani full vikwolombezo vya kufukiza mishumaa inawaka ndani karibia week nzima nilipata changamoto hata kuwafukuza siwezi.
umenikumbusha nilikua na marafiki wanga kinoma..usiku ukifika muda wa kulala wenyewe ndio wanafukiza Sasa..yalikua ni mateso jamani.
 
wazee, geto naenda uu mwaka haukati kabisaa, na nina uhakika wa chapaa.

ila wazew ii ya kupika na kufua, na hasa hasa kudeki itanitia kwenye matatizo na sitaki kuoa saivi, na mke wangu nataka nizzd ata miaka mitano.

saiv nina 22, naemzd miaka mitano ana 17 saivi, uku kupika wazee, kutanipeleja pabaya kabisa, na lazma nijitegemee tu, ila awa mademu ua nawaogopa sana.

Akiona una uwezo wa kum handle anweza kukubambikizia mimba, au kukung'ang'nia kabisa, ngoja nione ii movie ya kupka na kufua itaishia wp
Kupika ni process mkuu..utazoea taratbu tu
 
Nakumbuka kupitia thread hii nilisema mwezi wa 8 mwaka jana nitapanga chumba coz kila kitu kipo tyr

Nilisogeza siku kwakuwa nlkosa chumba nkitakacho(stak nkae na mwenye nyumba)

Niliingia kupanga mwaka huu February....nikiwa na kitanda cha mbao...gesi...meza ya kshkaji....tray za vyombo na sabufa

Nikapigana kuongeza tv...nkabadlsha kitanda...!!nkachukua na feni....na mambo yakikaa fresh ntachukua kabati

Kupanga inawezkana ukiamua kutoka moyoni....unajifunza maisha lkn pia inakupa heshima...kwenye familia...mtaan na jamii kwa ujumla

Now kila nkitoka mishe nkiingia tu kwangu hua nasahau kabisaa shida zoteView attachment 1178279View attachment 1178280
Nakukumbuka mkuu

Hatime you made it...dah big up sana

Kumbe tukihamasishana tunatoka kwel
 
Hahahaha alafu dogo anayekaa naye kama msukule yan mwanaume ana miaka 29 anadekishwa mpaka nyumba kisaa hawez panga gheto nilimpa makavu nikamwambia wewe ni msukule wake tu jitambue mm wala siombi msamaha Baki hapo ujipendekeze mbuzi wewe nikasepa nikamwambia mm hapa na undugu sibembelezi wewe usiyejielewa baki utafua mpaka vyupi
demiss wewe
 
Back
Top Bottom