Ulianzaje kukaa gheto?

We ni ngeke kama upo nyumbani na una pua kama babalevo una wanyima wenye nyumba pumzi......namaanisha wazazi na wadogo zako ambao kimsing ndo wenye haki ya kuwa hapo.....lakini nashangaa kama mpaka saizi hujawah kuosha vyombo ndo maana unatuomba ushauri maana kama kuna issue inakunyima aman ungetoka nduki, kifupi mtt wa mama mkwe wewe iv una dada...? Niwe namfata hapo hapo na shemeji nikutunze....af dada ako awe ana kusimanga kuwa komaa wewe unasababisha anachelewa kuposwa maana wahuni wansubir mkubwa utoke hutoki au wakuanzie nn
Lakini geto sio mbinguni wala kuzim jikaze....
Hayo maneno kama hayakukimbizi nyumban nakutafuta na vilai....nish
 
Back
Top Bottom