Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 4,201
- 7,751
Kwanza kashafuta app yenyewe,tangu jana alivyotunguliwa hajaingia tenaKama vya darasani hawezi kushika majina ya vituo kuanzia kivukoni mpaka gongo la mboto atakumbuka![]()

Kwanza kashafuta app yenyewe,tangu jana alivyotunguliwa hajaingia tenaKama vya darasani hawezi kushika majina ya vituo kuanzia kivukoni mpaka gongo la mboto atakumbuka![]()

Duh hiyo ya pili ndo yenyewe hiyoNapoli vs Ac Milan
Chelsea vs R. Madrid
Melo anatakiwa aingilie hili katiKwanza kashafuta app yenyewe,tangu jana alivyotunguliwa hajaingia tena![]()
Na ndio itanilaza saa 7 kasoroDuh hiyo ya pili ndo yenyewe hiyo
Psychological tortureMelo anatakiwa aingilie hili kati
Mm sijapenda kwa kweli![]()

Alooo😅😅Ah good night sahivi?
Me kumekucha, mpaka UEFA kijulikane.
Unashabikia chama gani hapo kama ni Chelsea bora ulale mapema tuNa ndio itanilaza saa 7 kasoro
Mambo vipi wakuu! Kwa Bajeti ya 1.2ml naweza kupata Hisense TV ya inch 65? nlikuwa nayo ya inch 49 nataka kuuza ninunue 65
Nazielewa hizo nyumba za hayo maeneo.ndiyo mzee
Kwa anayehitaj home theatre nina sony soundbar nauza.
Bei na channel ngapi?
Hahahaah, sio poa mkuu! Yan hata sehemu ya kuweka mguu itakosekana.Mbongo akiwa ana 1m tu.... hilo geto halitatosha![]()
Nakubali Mzee wa jampekiNazielewa hizo nyumba za hayo maeneo.
Oya mbona kam club huumii machoOhooo manzi hachomoki hpView attachment 2606012
Siumii mzaziOya mbona kam club huumii macho

