Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Sasa si utafika tu kwenye hizo rangi unazozishangaa 🤣unanunua bhana cc nawee.
Sasa si utafika tu kwenye hizo rangi unazozishangaa 🤣unanunua bhana cc nawee.
Wee mie ni Cream, white. Na Grey,Sasa si utafika tu kwenye hizo rangi unazozishangaa![]()




Ukimaliza hizo hununui pazia tena 😂Wee mie ni Cream, white. Na Grey,
Sitoki hapo yaan. Huko kwingne hapana.![]()
Wee kwann hii rangi? Hapana bhana toa haraka sana.





Kidg maroon inashawishi? Yellow? Kweliiii?Ukimaliza hizo hununui pazia tena
Yan mie nna grey, yellow, maroon na bado natamani more colors




I won’t mdogo wangu…. Ni nzuri sanaWee kwann hii rangi? Hapana bhana toa haraka sana.
Mbna unaniangusha hivi khaaah?
Seriously badilisha.
Pazia aina 1 January to December siwezi 🤣Kidg maroon inashawishi? Yellow? Kweliiii?
Hauko serious wee.
Kheeeeeh hiyo ni nzuri? KhaaaaahI won’t mdogo wangu…. Ni nzuri sana
Pazia aina 1 January to December siwezi![]()





Maweee 🤣
Kila mwaka pazia mpya, ila rangi ni zile zile.
Badiliko n material na muundo bas.
Maweee![]()
Myb materials.. sasa pazia uwa zina miundo?![]()
Unachekesha





ndyooooh zinazo bhana.Nionyeshe pichandyooooh zinazo bhana.
Yes…kwani topic ya hapa ni mashuka au kujitoa ufahamu!?Ya pazia au?![]()
Yes…kwani topic ya hapa ni mashuka au kujitoa ufahamu!?




ngoja kwan nikiwa home ntapiga picha dadaNyooo 🤣🤣🤣ngoja kwan nikiwa home ntapiga picha dada
kachukue pale mbeya town mkuu, utapata brand kama zoteNipo makambako mkuu,flat za huku sanasana kuna star x,boss,skyworth,sundar,solarmax,aborder yan flat flan sio kiviiiilee
Mimi nataka nikupe pazia bureNyooo
Najua huwezi…
Rangi gani? 🤣Mimi nataka nikupe pazia bure