Ule upendo wa kweli bado upo?

Ule upendo wa kweli bado upo?

Kuna mmoja jana anauliza huko FB, je inawezekana kwamba watu wameoana kwa ndoa lakini hawaishi pamoja? Ndio tumefika huko. Ndoa ni title tu, isemekane na yeye aliolewa lakini hawaishi pamoja.
😊😊😊
So watu wanafungia ndoa kutimiza ndoto zao na kuionyesha jaamii basi..hakuna la ziada?
 
Huamini kwamba mtu anaweza kupa kama huo?
Na huwa najiuliza kumpa mtu upendo kama huo nae mwisho wa siku anakupa maumivu kwakweli ni hasara.
Kabisa mkuu. Binadamu ambaye sio mzazi wako hawezi kukupenda kwa kila hali hadi mwisho wa dahari. Never!

Kila mwanadamu ana turning point yake (hata mwanao), tunatofautiana tu. Yupo atakayekuwa bega kwa bega na wewe katika nyakati fulani ngumu ila ikifikia ukomo wake (Turning point) atakuacha solemba tu. Ni mzazi wako tu (Hasa mama na Baba kwa asilimia kubwa) anaweza kuwa pamoja na wewe kwenye changamoto zako zote mpaka kifo. Wengine wote wana Breaking/Turning point.
 
It's complicated . Ila mimi, mtu tofauti na wazazi au ndugu zangu akiniambia amenipenda tu huwa nastuka kwanza, huwa siamini, namuuliza tena nihakikishe kama nilichokiskia ndicho au vipi. Yaani eti unanipenda tu sijakupa chochote na unanipenda tuuuuu!!, hii aina ya upendo siitaki kwakweli, sitaki kupendwa kimasihara
Huo ndio upendo sasa
 
  • Kicheko
Reactions: ---
Back
Top Bottom