Ule upendo wa kweli bado upo?

Ule upendo wa kweli bado upo?

Kabisa mkuu. Binadamu ambaye sio mzazi wako hawezi kukupenda kwa kila hali hadi mwisho wa dahari. Never!

Kila mwanadamu ana turning point yake (hata mwanao), tunatofautiana tu. Yupo atakayekuwa bega kwa bega na wewe katika nyakati fulani ngumu ila ikifikia ukomo wake (Turning point) atakuacha solemba tu. Ni mzazi wako tu (Hasa mama na Baba kwa asilimia kubwa) anaweza kuwa pamoja na wewe kwenye changamoto zako zote mpaka kifo. Wengine wote wana Breaking/Turning point.
Tufanyeje Sasa..
Tuwe wahuni?
 
Wengine tunahofia kupoteza muda
Na ndio sababu pia siku hizi wapenzi wanapangiliwa
Unakuta mwanaume mmoja ana wanawake sita kuchungiza nani anafaa.
Mwisho ni kupotezeana muda
Problem ya wanawake wa sasa wana haraka , hizo haraka ndizo zinakuingiza majaribuni.

Muda ninao sema si miaka mitano, within miezi minne mpaka 6 utaziona tabia halisi au dalili za mtu wako. Ukiwa nae kwenye matatizo, wakati wa furaha, akiwa mbali au akiwa karibu.

FRom there utaamua wewe. Tatizo dada zetu mnaingia kwa wahuni mkihisi watabadilika, mtu akishafika 28yrs na kuendelea kumbadilisha is heavy work
 
Na upande wa wadada unadhani tutasemaje??
Mwanamke Hana haki ya kumpima mwanaume?
Tukioimana matokeo yakitoka huko chanya huku hasi itakuwaje
Yale Yale kupoteza muda
Problem ya wanawake wa sasa wana haraka , hizo haraka ndizo zinakuingiza majaribuni.

Muda ninao sema si miaka mitano, within miezi minne mpaka 6 utaziona tabia halisi au dalili za mtu wako. Ukiwa nae kwenye matatizo, wakati wa furaha, akiwa mbali au akiwa karibu.

FRom there utaamua wewe. Tatizo dada zetu mnaingia kwa wahuni mkihisi watabadilika, mtu akishafika 28yrs na kuendelea kumbadilisha is heavy work
 
Umeleta Ujumbe Mzito Sana Kama Wale Mamajusi Wa Mashariki, Baltazar, Gasper,
Merikior
Acha Nipate Funda La Hii
IMG-20260805-WA0007.jpg
IMG-20260805-WA0007.jpg
 
Wabwana wananitamani,

Tokea tangu zamani hujanipatia kitu,

Wabwana wananitamani,

Tokea tangu zamani hujanipatia,

Leo hii paka na wewe!!

Ooh dada mapenzi ya pesa dada ni ya sifa kweli kwa mbele ya wandugu na familie yote lkn mapenzi ya pesa si ya kweli dada


Ooh dada mapenzi ya pesa dada ni sifa kweli
 
Back
Top Bottom