Ukweni kwangu hakuishi vituko

Ukweni kwangu hakuishi vituko

aise

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
8,294
Reaction score
23,284
Ukweni kwangu hakuishi vituko wakuu kama mnavyoona wenyewe.
Choo Cha Kifalme nimeandaliwa mkwe
1788788700458.jpg
 
Agaaaah😅😅,, nikipata kama haka itakua unyama sana nimekapenda😘☺️ sema hizo turbai na hiyo miti pembeni si itawahi kuoza kutokana na maji
 
Agaaaah😅😅,, nikipata kama haka itakua unyama sana nimekapenda😘☺️ sema hizo turbai na hiyo miti pembeni si itawahi kuoza kutokana na maji
Turbai itaharibika Kwa jua, siyo maji.
Miti itaoza Kwa maji, siyo Jua.
 
Kwa icho choo kilivyo pambwa..hapo lazima unye Hadi akili mkuu.

Hongera sana kwa kuandaliwa mahala pazuri pa kunya
 
Back
Top Bottom