Ukweli utabaki kuwa ukweli

Ukweli utabaki kuwa ukweli

😂😂😂😂😂😂
Mwenye hela hatumi sms 50, anatuma 3 za salamu, kinachofuata muamala ukiambatana na vocha, kifuatacho loc ya appointment.

Ndo nakusanua hivyoooo. JF kaa nayo kimastaaa.
😂😂😂😂😂😂
. mmmh kweli naamini
 
😂😂😂😂😂😂
Boraaa alivyo sema Da marry nyanya, sie wengine vitunguu, tunawatoa machozi wajaa.

Kila siku nasema, ukiona mwanaume JF kutwaa kuranda randa ktk nyuzi na comments holela, ni choka mbayaa.

Ma boss kubwa wako kimyaa na ⌨️zao.
😂😂😂😂😂
Ewaaah.!! 😹
Wanaume wenye pesa hawana kelele comment moja anaenda kupanga mipango yake huko..!!
Ila Hawa viboro dinda kila nyuzi za hovyo wamo wanasema wana mawe kumbe mishuzi mitupuuuuu..!.! 🤣
 
Ewaaah.!! 😹
Wanaume wenye pesa hawana kelele comment moja anaenda kupanga mipango yake huko..!!
Ila Hawa viboro dinda kila nyuzi za hovyo wamo wanasema wana mawe kumbe mishuzi mitupuuuuu..!.! 🤣
Viboro dinda😂😂😂
Halafu hawajui kutongoza wanajiumauma tu
 
Shikamooni wakubwa wote humu ndani, wadogo zangu marhaba.

Yanasemwa mengi,.yanaongelewa mengi.nayaona meengi lakini kujiamini ndiyo kila kitu.

Leo si sikukuu wala nini ila naiona alhamis nzuri ikiisha bila matatizo yeyote,mtoto wa Kiswahili nipo niliambiwa nipo kwaajili ya kutapeli wanaume,aaaaah wapi hata niliokutana nao ni makapuku tu, mwanaume gani nguo hafui,hanyooshi shati,ataninyoosha Mimi,

Humu najua wenye pesa wapo ila ni wachache mno.

Povu ruksa,ila matusi sitaki ,tutavirugana Maria nipo mejaa teleee

Haya kujeni
Tibu UTI kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom