Ukweli usiofundishwa kuhusu rangi za Bendera ya Taifa (Tanzania)

Trainee

JF-Expert Member
Sep 22, 2018
2,219
2,823
Ni kwamba bendera ina jumla rangi nne lakini kati ya rangi hizo hakuna rangi inayoitwa NJANO bali ni rangi ya DHAHABU ambayo ilikusudiwa kuwakilisha madini tuliyonayo nchini

Swali la msingi ni kwa nini sasa tukaijua njano na kuitumia kisha dhahabu tukapotezea?
 
Ni kwamba bendera ina jumla rangi nne lakini kati ya rangi hizo hakuna rangi inayoitwa NJANO bali ni rangi ya DHAHABU ambayo ilikusudiwa kuwakilisha madini tuliyonayo nchini

Swali la msingi ni kwa nini sasa tukaijua njano na kuitumia kisha dhahabu tukapotezea?
Ni wapi panapoeleza madini yanayokusudiwa ni dhahabu tu, na hata ingekuwa dhahabu je, dhahabu zote zinakiwango kimoja cha muonekano wa rangi? Nijuavyo ile njano inawakilisha madini yote yaliyomo ardhini.
 
Ni wapi panapoeleza madini yanayokusudiwa ni dhahabu tu, na hata ingekuwa dhahabu je, dhahabu zote zinakiwango kimoja cha muonekano wa rangi? Nijuavyo ile njano inawakilisha madini yote yaliyomo ardhini.
Umesoma kweli? Au basi tufanye umesoma sawa lakini je, umeelewa?

Wapi nimesema kwamba madini yaliyokusudiwa ni dhahabu tu
 
Back
Top Bottom