Ukweli ni upi "Rais kafanya" au "Serikali imefanya"?

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y "

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi " Y "

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y "


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!

Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?
Chaguzi zingekuwa huru na haki maneno hayo yanaakisi sawia hoja hii.Kwa chaguzi hizi za uporaji maneno hayo si sahihi kabisa kuyatumia,ni batili.Naelewa ulilijua vema hili.
 
Chaguzi zingekuwa huru na haki maneno hayo yanaakisi sawia hoja hii.Kwa chaguzi hizi za uporaji maneno hayo si sahihi kabisa kuyatumia,ni batili.Naelewa ulilijua vema hili.
Chaguzi zinaondoa nini hapo mkuu?
 
Ilani ni ya chama na siyo serikali! Endapo chama kitashinda Uchaguzi hapo kinalazimika kuwasilisha ilani yake bungeni ili itengenezewe mpango wa utekelezaji na bajeti.
Mkuu unabisha nini,

Mgombea atoe ahadi then ashinde,

Atekeleze then tuseme ni serikali,
 
Labda nikuulize "ilani inayotekelezwa ni ya Rais au ya chama kilichi0unda serikali"? Ilani anayotumia rais wenu wa sasa ni ile ile aliyotumia rais wenu jpm? Naomba uliyeanzisha uzi unisaidie kujibu.
 
Labda nikuulize "ilani inayotekelezwa ni ya Rais au ya chama kilichi0unda serikali"? Ilani anayotumia rais wenu wa sasa ni ile ile aliyotumia rais wenu jpm? Naomba uliyeanzisha uzi unisaidie kujibu.
Yote kwa pamoja,

ahadi za mgombea +ahadi za chama

Ilani ni hii hii tangu enzi za JPM,
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y "

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi " Y "

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y "


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?

||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||
Hongera
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y "

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi " Y "

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y "


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?

||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||
MAMLAKA YOTE HAYO ANAYATOA WAPI?NI MAMLAKA YA WANANCHI LAKINI MAMLAKA HAYA YANATUMIWA VIBAYA NA WACHACHE WALIOPEWA MAMLAKA HAYO.NA NDIO HAO WANOLAZIMISHWA KUITWA WAHESHIMIWA
 
Chadema na upinzani upo mioyoni hata kikifa leo upinzani na kutopenda madudu ccm kuko mioyoni milele.....
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y "

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi " Y "

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y "


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?

||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||
Upupu mtupuu...
 
Hata USA utasikia,"the New Joe Biden Decree will put $10,000 every month in the hands of low income families"
Umeelewa vizuri hiyo sentensi? Au kiingereza kinakupiga chenga.
Huwezi kufananisha na kauli kwamba eti samia atoa fedha za ujenzi wa vyumba vya madarasa
 
Mtoa mada nshauri atafute alichoongea Jaji Mstaafu Warioba juzi Kwenye kipindi cha dk 45 ITV atajifunza kitu
 
Umeelewa vizuri hiyo sentensi? Au kiingereza kinakupiga chenga.
Huwezi kufananisha na kauli kwamba eti samia atoa fedha za ujenzi wa vyumba vya madarasa
Wewe unaleta hair splitting,lakini nimekuelewa.
Yes, indeed, wakati wa uongozi wa Kikwete walisema mara moja tu katika kipindi chake chote cha uongozi,"mamilioni ya Kikwete".
Lakini sasa,hata mwaka haujaisha tunasikia mara kumi,mara ishirini,mara thelathini,"mamilioni ya Samia",
Wakati mamilioni yalitolewa mara moja tu,wakati Lowassa anagombea urais kupitia Chadema.
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y "

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi " Y "

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y "


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?

||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||

pingapinga FC
Hatari sana hii kitu
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu.​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y".

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi "Y".

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y".


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?

||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||
Safi Sana Mama
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu.​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y".

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi "Y".

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y".


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!

Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?

||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||
Jamaa inawauma kweli, wanatamani kula wembe
 

Maneno haya yanamaana sawa kimantiki " Rais kafanya X " " Serikali imefanya Y " au " " Tumefanya Z " tumia lolote utakuwa sahihi tu.​


Kunabaadhi ya wenzetu wameishiwa hoja hasa huku mitandaoni kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakipinga kwa nguvu zote kutumika kwa sentesi " Rais X kafanya mradi Y".

Watu hawa mara zote wanahoji niwapi huyu Rais X kapata huu ukwasi wa kutekeleza mradi Y? Jambo ambalo kisiasa wanadhani linamuinua zaidi huyu Rais X kwa kupewa endorsement ya mradi "Y".

Wakati wote watu hawa ambao wengi wao ni watu kutoka Upinzani wamependekeza itumike sentesi " Serikali X imetekeleza mradi Y".


UFAFANUZI WANGU
____________________

Kwanza, Kisiasa :
Sote tunafahamu ili tuweze kushinda Uchaguzi wowote ule popote tunahitaji mambo matano makubwa ambayo ni,

1. Mgombea Mzuri


2. Mtandao au Chama

3. Agenda|Ilani ya Uchaguzi

4. Organization au timu kampeni

5. Rasilimali, fedha, vitu na watu


Sasa kwahoja hii naomba tuangazie hitaji la tatu la kushinda Uchaguzi ambalo ni " ILANI YA UCHAGUZI " Ilani ya Uchaguzi inaweza kuwa yakuandikwa au yakutamkwa,

ILANI YA UCHAGUZI maana yake ni ahadi za mgombea au chama kwa Wapigakura au wananchi.
Tuelewane vizuri hapa tumesema Ilani ni ahadi ya mgombea au Chama wala sio ahadi ya Serikali kwa wapigakura au wananchi, nadhani hapa tunakubaliana wote,

Tukubaliane pia huyu mgombea baadae anaweza kushinda na kuwa Rais X, Sasa bila kusahau kuna ahadi aliwaahidi wapigakura wake yeye kama yeye yaani akishinda atafanya miradi X,Y,Z.

Kwaufafanuzi huu wa Ilani ya Uchaguzi kama miradi X,Y,Z ikitekelezwa na aliyekuwa Mgombea wa nafasi X ambae alishinda Uchaguzi huo kwa ahadi hizo na sasa anazitekeleza kama alivyoahidi ubaya unatoka wapi tukisema " Rais X katekeleza miradi X,Y,Z? "

Pili kimuundo :
Rais wa JMT ndio Raia namba moja wa JMT ndie mkuu wa Serikali ndio afisa manunuzi mkuu, ndie mshauri mkuu wa bajeti ndie mtia saini wa mwisho wa sheria ya bajeti unakataaje hajafanya wakati kila kitu kinaanzia na kuishia kwake!!


Tatu, Rais ndie mwenye mamlaka ya kusimamia pesa yote ya nchi kabla na baada ya bajeti kwenye kutekeleza miradi ya nchi kwani ndie aliyepewa dhamana na ndio atakayeulizwa ifikapo mwaka 2025 kulingana na Ilani yake iliyopita hivyo anafanya kwa niaba yetu

Nne, Urais ni taasisi, Sisi sote tuko chini ya Rais wa JMT akiwa kama Raia namba moja wa nchi, Hivyo tuvifanyavyo tunavifanya kwa niaba ya Nchi na Rais wetu ndio maana likitokea baya lawama zote kwa Rais wa nchi kwanini linapotokea jema mnasita kusema kafanya hili Jema iweje Rais apokee mabaya tu mema asipokee?

||Serikali inafanya kwa niaba ya Rais na Rais anafanya kwa niaba ya wanachi||
Ngoja tuone kama ni kweli au uongo,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom