Ukweli ni kwamba hakuna mwanaCHADEMA aliyewahi kupambana na CHADEMA na akashinda, wengi wanaishia kudhalilika tu hata kama watapewa vyeo

Huu ndio ukweli unaofahamika kila mahali, mifano ya waliokuwa wana CHADEMA na kusaliti chama chao waliodhalilika baada ya uamuzi wao huo ni mingi mno, hatuna haja ya kuirudia, ni kweli kwamba kuna waliopewa vyeo baada ya usaliti huo lakini heshima yao mbele ya jamii imepukutika mithili ya majivu kwenye upepo mkali.

Kwahiyo wanachopaswa kutambua wasaliti wapya na wajao ni kwamba usaliti wao utawagharimu heshima na utu wao mbele ya jamii kama ilivyowagharimu wasaliti waliopita ambao sasa wamepoteza kila kitu mbele ya Jamii, japo wamepata hela baada ya kununuliwa, hawaheshimiki na yeyote na wamedharauliwa moja kwa moja.

Muda utaongea...
Unapoteza muda kujiapiza kwenye jambo ambalo hakuna atakayelibadilisha na huko mbeleni mtaanza kutwangana ngumi sio kwa sababu taratibu za kichama zimekiukwa lahasha ni kwa kuwa kwanini fulani ni miongoni mwa walioteuliwa viti maalumu na sio mimi au yule?

The sarcasm will leave you maim to provoke further when the prominent bigwig admits endorsing acceptance of the textual eligibility.

It is wise to fold up rather than radically jstanding akimbo the astray may hit you hard with post mental retardation

The steering of the chess is strategically mapping out the end of the postmortem
 
Huu ndio ukweli unaofahamika kila mahali, mifano ya waliokuwa wana CHADEMA na kusaliti chama chao waliodhalilika baada ya uamuzi wao huo ni mingi mno, hatuna haja ya kuirudia, ni kweli kwamba kuna waliopewa vyeo baada ya usaliti huo lakini heshima yao mbele ya jamii imepukutika mithili ya majivu kwenye upepo mkali.

Kwahiyo wanachopaswa kutambua wasaliti wapya na wajao ni kwamba usaliti wao utawagharimu heshima na utu wao mbele ya jamii kama ilivyowagharimu wasaliti waliopita ambao sasa wamepoteza kila kitu mbele ya Jamii, japo wamepata hela baada ya kununuliwa, hawaheshimiki na yeyote na wamedharauliwa moja kwa moja.

Muda utaongea...
Hivi wanaodhalilika ni hawa walio Jamii Forums na Twitter wanaobweka na kubwata hovyo na hakuna chochote kinachotokea, au hawa ambao wako pale nje "field" wanasababisha mambo yanatokea, wanakuwa "recognized" na wanafanikisha kile kinachopaswa kwa mujibu wa utaratibu?
 
Mi nadhani bavicha tawi la Jf mngekuwa na akiba ya maneno hadi Mbowe atakapoongea. Kama kwenye 19 mmoja ni mke wa John Mrema na mwingine ni mke wa Salum Mwalim(makam wa rais) nadhani kuna kitu kinaendelea ambacho kikijulikana kitawafanya baadae muyaonee aibu matamko yenu hapa.

Mwenzenu Lord denning jana kawakana chadema hata jogoo hajawika
Alishafuta ile comment yake aliyosema yeye si mwana chadema na ana kadi ya CCM
 
Huu ndio ukweli unaofahamika kila mahali, mifano ya waliokuwa wana CHADEMA na kusaliti chama chao waliodhalilika baada ya uamuzi wao huo ni mingi mno, hatuna haja ya kuirudia, ni kweli kwamba kuna waliopewa vyeo baada ya usaliti huo lakini heshima yao mbele ya jamii imepukutika mithili ya majivu kwenye upepo mkali.

Kwahiyo wanachopaswa kutambua wasaliti wapya na wajao ni kwamba usaliti wao utawagharimu heshima na utu wao mbele ya jamii kama ilivyowagharimu wasaliti waliopita ambao sasa wamepoteza kila kitu mbele ya Jamii, japo wamepata hela baada ya kununuliwa, hawaheshimiki na yeyote na wamedharauliwa moja kwa moja.

Muda utaongea...
Mzee utachanganyikiwa bure, chadema maslahi tu hao, toka enzi za kubadili gia angani! Mwamba mwenyewe kasema atawalinda!
 
Huu ndio ukweli unaofahamika kila mahali, mifano ya waliokuwa wana CHADEMA na kusaliti chama chao waliodhalilika baada ya uamuzi wao huo ni mingi mno, hatuna haja ya kuirudia, ni kweli kwamba kuna waliopewa vyeo baada ya usaliti huo lakini heshima yao mbele ya jamii imepukutika mithili ya majivu kwenye upepo mkali.

Kwahiyo wanachopaswa kutambua wasaliti wapya na wajao ni kwamba usaliti wao utawagharimu heshima na utu wao mbele ya jamii kama ilivyowagharimu wasaliti waliopita ambao sasa wamepoteza kila kitu mbele ya Jamii, japo wamepata hela baada ya kununuliwa, hawaheshimiki na yeyote na wamedharauliwa moja kwa moja.

Muda utaongea...
Mkuu,

Hii twitter inaukweli gani maana inasambaa kama uyoga? Is it verified account and hacked or its contents credible to trust?
1606323123220.png
 
Kwa m'binyo walioupata cdm toka 2015 na niliyoyaona katika uchaguzi uliopita naamini cdm Ni mpango wa Mungu. Halima na genge lake kamwe hawawezi pindisha mpango huo.
 
Huu ndio ukweli unaofahamika kila mahali, mifano ya waliokuwa wana CHADEMA na kusaliti chama chao waliodhalilika baada ya uamuzi wao huo ni mingi mno, hatuna haja ya kuirudia, ni kweli kwamba kuna waliopewa vyeo baada ya usaliti huo lakini heshima yao mbele ya jamii imepukutika mithili ya majivu kwenye upepo mkali.

Kwahiyo wanachopaswa kutambua wasaliti wapya na wajao ni kwamba usaliti wao utawagharimu heshima na utu wao mbele ya jamii kama ilivyowagharimu wasaliti waliopita ambao sasa wamepoteza kila kitu mbele ya Jamii, japo wamepata hela baada ya kununuliwa, hawaheshimiki na yeyote na wamedharauliwa moja kwa moja.

Muda utaongea...
😂😂😁😁😃🤣🤣🤣🤣🤣, duuuuh. Mkuu, utapata wazimu na wanasiasa. Nakuonea huruma.
Mkuu, ukweli ni kuwa anayevuruga cdm, ni viongozi wa juu, isipokuwa katibu.
Kumbuka Mdee, Jackob,Kishoa, Bulaya, Lema,Msigwa, ni timu Mbowe. Viongozi wanajua kinacho endelea.Hapo, mnyika kazungukwa tu.
 
Mi nadhani bavicha tawi la Jf mngekuwa na akiba ya maneno hadi Mbowe atakapoongea. Kama kwenye 19 mmoja ni mke wa John Mrema na mwingine ni mke wa Salum Mwalim(makam wa rais😀) nadhani kuna kitu kinaendelea ambacho kikijulikana kitawafanya baadae muyaonee aibu matamko yenu hapa.

Mwenzenu Lord denning jana kawakana chadema hata jogoo hajawika
Nimewakanaje Chadema ndugu?? Mimi ni mfuasi na mpenzi kindakindaki wa Chadema na nitabaki kuwa hivi unless otherwise wakengeuke wenyewe. Hadi sasa Tanzania hakuna Chama Chenye Itikadi nzuri na sera Nzuri ambazo zinaweza kuifikisha mbali Tanzania kimaendeleo kama Chadema!
 
Back
Top Bottom