CHADEMA waelewe kwamba mkubwa ni mkubwa tu!

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
1,684
2,157
Mwanzoni wakati Rais Samia anapokea madaraka makundi mengi yalionekana kumuunga mkono wakiwemo CHADEMA

Bahati mbaya sana baadhi yetu tulitaka mabadiliko ya ghafla kwenye kila kitu kana kwamba nchi ilikuwa imetoka kwenye mapinduzi ya uongozi

Walioteswa na urais wa Magufuli hasa CHADEMA walitaka madiliko ya ghafla sana hata kabla msiba haujaisha kitu ambacho kilikuwa kigumu sana

Rais Samia alichukua madaraka baada ya msiba wa Rais hakuchukua madaraka kwa mapinduzi! Kama binadamu, Magufuri alikuwa na familia, wafuasi, waliompenda na waliomchukia! Alikuwa mwanachama wa CCM ambapo walikuwemo waliompenda na waliomchukia.

Hayo yote yalitosha kuwapa changamoto CHADEMA ya kwenda taratibu katika kutafuta mabadiliko kupitia Rais Samia

Haiwezekani na isingewezekana Rais Samia ndani ya kipindi Kifupi kuwaponya wote waliojeruhiwa na Magufuri! Huu ungeonekana Kama usaliti! Labda angekuwa ameingia kimapinduzi

Yanasemwa mengi kwamba hata utaratibu wa kutaka kuonana na Rais ili kufanya mazungumzo waliovuruga ni CHADEMA wenyewe! Kutaka kujipangia na kulazimisha kila kitu

Tangu Magufuri afariki hata mwaka haujapita lakini ndani ya kipindi hiki Kifupi tayari CHADEMA walianza kukimbizana barabarani kudai Mambo mengi sana ambayo hawakuyafanya kipindi Cha Magufuri! Unadhani system ingekubali tu Mambo yaende hivyo?

CHADEMA walishindwa nini kujipa na kumpa muda Rais Samia ili wapimane?

Wangeweza kutumia busara ya kawaida tu kwa kujipa muda angalau wa mwaka mmoja huku wakifanya juhudi za kimya kimya kurekebisha Mambo halafu waone Kama mabadiliko yangetokea au laa!

Kuna wakati unaweza kukosa unachostahili kwasababu ya style uliyotumia kuomba au kudai kitu hicho! Hiki ndicho kilichowapata CHADEMA!

Wanakurupuka kwa kila Jambo! Hawako smart kudai haki! Wanataka kulazimisha ili tu waonekane washindi. Wanasahau kwamba hata ukidai haki kistaarabu bado jamii itakutambua tu!

CHADEMA wanatukosea sana watanzania, wanaendesha Mambo yao kana kwamba wao ndo wanajua kila kitu, kila wanachowaza ni sahihi tu, wanaweza kujipangia wafanye nini na kumpangia Rais afanye nini na asifanye nini. Hii sio sawa!

Naamini Kuna watu wenye busara ndani ya CHADEMA! Hawajachelewa. Watumia mlango wa nyuma kurekebisha mambo. Sio lazima kila kitu kiletwe kwenye public! Mambo mengine wakubwa hawapendi kuyaona hadharani! Mnamalizana huko huko sisi wananchi tunaona mabadiliko tu!
 
Umejitahidi kuandika, ila hapo kwenye "Magufuri" rekebisha, hatujawahi kuwa na Rais mwenye jina hilo
 
Mu
Mwanzoni wakati Rais Samia anapokea madaraka makundi mengi yalionekana kumuunga mkono wakiwemo CHADEMA

Bahati mbaya sana baadhi yetu tulitaka mabadiliko ya ghafla kwenye kila kitu kana kwamba nchi ilikuwa imetoka kwenye mapinduzi ya uongozi
Muda ni mwalimu, ninaamini muda utaamua.

Binafsi siungi mkono, dharau na siasa za CCM hasa za kuwaona wananchi hawana akili kuwachagua viongozi wao.

Leo viongozi waliopitishwa na wananchi "Magufuli" kwa wizi wake wa kula wanapoharibu ni ccm imeharibu.

Na kamwe viongozi hawa wasiochaguliwa na wananchi hawawezi kuwaheshimu wananchi kwa kujali maumivu yao zaidi ya mungu wao magufuri
 
Ukubwa upi unaouzungumzia?

Hii ni nchi ya kidemokrasia, no body is above the law.
" no body is above the law" huu msemo sijui hata Kama baadhi ya watu wanauelewa vizuri maana unatumika hata kwenye mazingira ambayo hayahusiani
 
Shida ya CDM unapoongoza nchi nao wanaamini nao ni sehemu ya uongozi wako hivyo unapaswa kuwasikiliza aka muongoze wote nchi...yaani ni kama watu ambao uko nao kwenye serikali ya mseto...wanajisahau wao kama chama cha upinzani na wanapaswa kujua namna gani chama cha upinzani kinapaswa kuwa..
 
2010 ilipigwa fainali ya uefa champions league wembley kati ya man utd na fc barcelona. baada ya barca kuwa wametangulia kupata bao mashabiki wa man utd kama kawaida yao wakaanza kujitapa 'mkubwa mkubwa tu tunashinda hii game' oh mara 'sikio halizidi kichwa'.

dakika 90 man utd 1-3 fc barcelona.

moja ya vionjo katika mechi ile ilikuwa ni Sir Alex kutetemeka mikono.

CCM acheni umbumbumbu. CHADEMA ni mfumo uliojengwa kwenye nyoyo na akili za watu hizo nadharia zenu muambizane wenyewe kwa wenyewe huko kwenu CCM.
 
Mwanzoni wakati Rais Samia anapokea madaraka makundi mengi yalionekana kumuunga mkono wakiwemo CHADEMA

Bahati mbaya sana baadhi yetu tulitaka mabadiliko ya ghafla kwenye kila kitu kana kwamba nchi ilikuwa imetoka kwenye mapinduzi ya uongozi

Walioteswa na urais wa Magufuri hasa CHADEMA walitaka madiliko ya ghafla sana hata kabla msiba haujaisha kitu ambacho kilikuwa kigumu sana

Rais Samia alichukua madaraka baada ya msiba wa Rais hakuchukua madaraka kwa mapinduzi! Kama binadamu, Magufuri alikuwa na familia, wafuasi, waliompenda na waliomchukia! Alikuwa mwanachama wa CCM ambapo walikuwemo waliompenda na waliomchukia.

Hayo yote yalitosha kuwapa changamoto CHADEMA ya kwenda taratibu katika kutafuta mabadiliko kupitia Rais Samia

Haiwezekani na isingewezekana Rais Samia ndani ya kipindi Kifupi kuwaponya wote waliojeruhiwa na Magufuri! Huu ungeonekana Kama usaliti! Labda angekuwa ameingia kimapinduzi

Yanasemwa mengi kwamba hata utaratibu wa kutaka kuonana na Rais ili kufanya mazungumzo waliovuruga ni CHADEMA wenyewe! Kutaka kujipangia na kulazimisha kila kitu

Tangu Magufuri afariki hata mwaka haujapita lakini ndani ya kipindi hiki Kifupi tayari CHADEMA walianza kukimbizana barabarani kudai Mambo mengi sana ambayo hawakuyafanya kipindi Cha Magufuri! Unadhani system ingekubali tu Mambo yaende hivyo?

CHADEMA walishindwa nini kujipa na kumpa muda Rais Samia ili wapimane?

Wangeweza kutumia busara ya kawaida tu kwa kujipa muda angalau wa mwaka mmoja huku wakifanya juhudi za kimya kimya kurekebisha Mambo halafu waone Kama mabadiliko yangetokea au laa!

Kuna wakati unaweza kukosa unachostahili kwasababu ya style uliyotumia kuomba au kudai kitu hicho! Hiki ndicho kilichowapata CHADEMA!

Wanakurupuka kwa kila Jambo! Hawako smart kudai haki! Wanataka kulazimisha ili tu waonekane washindi. Wanasahau kwamba hata ukidai haki kistaarabu bado jamii itakutambua tu!

CHADEMA wanatukosea sana watanzania, wanaendesha Mambo yao kana kwamba wao ndo wanajua kila kitu, kila wanachowaza ni sahihi tu, wanaweza kujipangia wafanye nini na kumpangia Rais afanye nini na asifanye nini. Hii sio sawa!

Naamini Kuna watu wenye busara ndani ya CHADEMA! Hawajachelewa. Watumia mlango wa nyuma kurekebisha mambo. Sio lazima kila kitu kiletwe kwenye public! Mambo mengine wakubwa hawapendi kuyaona hadharani! Mnamalizana huko huko sisi wananchi tunaona mabadiliko tu!
WaTz wakiwa wa aina yako haki hawatazidai . Tumeshuhudia kwa miaka 5 na miezi 3 watu hawakuongezwa mishahara na madaraja hawakupandisha makazini. Hata vyama vya wafanyakazi hawakuthubutu kuhoji !!. Bahati nzuri Mungu ni mwema .

Kuna vitu haki za kikatiba haziombwi hudaiwa kwa kuwa ni haki. U dictator si ufahari wala ushindi ni uoga
 
Mwanzoni wakati Rais Samia anapokea madaraka makundi mengi yalionekana kumuunga mkono wakiwemo CHADEMA

Bahati mbaya sana baadhi yetu tulitaka mabadiliko ya ghafla kwenye kila kitu kana kwamba nchi ilikuwa imetoka kwenye mapinduzi ya uongozi

Walioteswa na urais wa Magufuli hasa CHADEMA walitaka madiliko ya ghafla sana hata kabla msiba haujaisha kitu ambacho kilikuwa kigumu sana

Rais Samia alichukua madaraka baada ya msiba wa Rais hakuchukua madaraka kwa mapinduzi! Kama binadamu, Magufuri alikuwa na familia, wafuasi, waliompenda na waliomchukia! Alikuwa mwanachama wa CCM ambapo walikuwemo waliompenda na waliomchukia.

Hayo yote yalitosha kuwapa changamoto CHADEMA ya kwenda taratibu katika kutafuta mabadiliko kupitia Rais Samia

Haiwezekani na isingewezekana Rais Samia ndani ya kipindi Kifupi kuwaponya wote waliojeruhiwa na Magufuri! Huu ungeonekana Kama usaliti! Labda angekuwa ameingia kimapinduzi

Yanasemwa mengi kwamba hata utaratibu wa kutaka kuonana na Rais ili kufanya mazungumzo waliovuruga ni CHADEMA wenyewe! Kutaka kujipangia na kulazimisha kila kitu

Tangu Magufuri afariki hata mwaka haujapita lakini ndani ya kipindi hiki Kifupi tayari CHADEMA walianza kukimbizana barabarani kudai Mambo mengi sana ambayo hawakuyafanya kipindi Cha Magufuri! Unadhani system ingekubali tu Mambo yaende hivyo?

CHADEMA walishindwa nini kujipa na kumpa muda Rais Samia ili wapimane?

Wangeweza kutumia busara ya kawaida tu kwa kujipa muda angalau wa mwaka mmoja huku wakifanya juhudi za kimya kimya kurekebisha Mambo halafu waone Kama mabadiliko yangetokea au laa!

Kuna wakati unaweza kukosa unachostahili kwasababu ya style uliyotumia kuomba au kudai kitu hicho! Hiki ndicho kilichowapata CHADEMA!

Wanakurupuka kwa kila Jambo! Hawako smart kudai haki! Wanataka kulazimisha ili tu waonekane washindi. Wanasahau kwamba hata ukidai haki kistaarabu bado jamii itakutambua tu!

CHADEMA wanatukosea sana watanzania, wanaendesha Mambo yao kana kwamba wao ndo wanajua kila kitu, kila wanachowaza ni sahihi tu, wanaweza kujipangia wafanye nini na kumpangia Rais afanye nini na asifanye nini. Hii sio sawa!

Naamini Kuna watu wenye busara ndani ya CHADEMA! Hawajachelewa. Watumia mlango wa nyuma kurekebisha mambo. Sio lazima kila kitu kiletwe kwenye public! Mambo mengine wakubwa hawapendi kuyaona hadharani! Mnamalizana huko huko sisi wananchi tunaona mabadiliko tu!
Mkuu, shetani ni shetani tu, hata ukimsifu na kumuabudu lengo lake kubwa ni kukuangamiza ili uishie kwenye mauti na kuzimu. Ndiyo! Anaweza kukupa burudisho kupitia anasa na raha za maisha ya kidunia lakini moyoni mwake anatambua fika unakwenda kuangamia.

CCM ni kama shetani tu, inajiona ndiyo pekee yenye hati miliki ya kushikilia dola, iwe kwa halali ama hata kwa njia batili. Starehe na "peace of mind" kwake ni kuona ikishindana na vyama dhaifu vya ushindani.

Hata kama Madam President akimaanisha kufanya mazungumzo na CDM, bado mfumo ndani ya chama chake hautakubaliana naye. Yeye ni "figurehead" tu ndani ya chama chake, na wala hana uwezo wa kufanya "ultimate decision" ijapokuwa yeye ndiye mwenyekiti taifa.

Visitafutwe visingizio kupitia CDM. CCM haina nia ya dhati ya kutaka kufanya mazungumzo na vyama vingine, inatambua vyema kuwa hakuna "fair political landscape" hapa nchini. Na jambo hilo ndilo pekee lenye kuihakikishia usalama wake wa kuendelea kushika dola.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
CHADEMA wanatukosea sana watanzania, wanaendesha Mambo yao kana kwamba wao ndo wanajua kila kitu, kila wanachowaza ni sahihi tu, wanaweza kujipangia wafanye nini na kumpangia Rais afanye nini na asifanye nini. Hii sio sawa!
Tatizo lako ni mental set up yako na 99.99999999999% ya watanzania ! Kwao Rais ni zaidi ya baba , mama , Mungu, Yesu, Mohmd, dada, kaka, mjomba, shangazi....... Ukijinasua kwa hilo utaona philosophy ya Chadema na kuielewa!
 
Kinachofurahisha nj kwamba chadema ndiyo chama kinachoandikwa zaidi mitandaoni, ndiyo chama kinachofikiriwa na kupendwa zaidi na watanzania kuliko vyama vyote Tanzania.
 
Back
Top Bottom