Ukweli ni kwamba hakuna mwanaCHADEMA aliyewahi kupambana na CHADEMA na akashinda, wengi wanaishia kudhalilika tu hata kama watapewa vyeo

Mkuu hata darasa aliimba huwezi kimbia unachokipenda sanaa unabaki unaumia.... Me Chadema naipenda japo na. makosa yote yanayotokea sijawai kukimbia nipo tu bora niitwe nyumbu maan nimeshazoea na hata kwa ManU yangu kuitwa hivyo
Kuumia naumia ila siwezi endelea kuunga safari ambayo hao ninawaunga mkono sijui safari yao wanaelekea wapi. We unaweza kuwa bsy unahangaika na akina halima mdee ukidhani mnapigania haki usawa, maisha bora kwa watu wote, kumbe kama ilivyojidhihirisha wao wanapigania matumbo yao. Mtu kakaa bungeni miaka 10, lakini anaona kukaa nje miaka 5 kusimamia msimamo wa chama chake hawezi. Halfu utamkuta jukwaani vijana mjiajiri 😂 😂 😂 😂

Mkuu ukipata nafasi achana na siasa we kula tu. we humuoni pole pole alivyong'aa siyo pole pole wa enzi za katiba
 
Hii issue na Nasrat ni kiboko..yaani kajaza form ya kuomba uteuzi wa Ubunge viti maalum akiwa gelezani aisee...

afu kapeleka kusainiwa na Katibu mkuu wake wa chama akiwa gelezani...

Afu akapeleka form kwa Hakimu kusainiwa akiwa gelezani..

Afu tarehe 23rd akatoka gelezani usiku then kesho yake tarehe 24th anaapishwa kuwa mbunge...

Yaani hili ni zaidi ya muvi la kihindi aisee...si mchezo
Hii inapatikana Bongo land tu nchi ya kusadikika.
 
Huu ndio ukweli unaofahamika kila mahali , Mifano ya waliokuwa wana CHADEMA na kusaliti chama chao waliodhalilika baada ya uamuzi wao huo ni mingi mno, hatuna haja ya kuirudia, ni kweli kwamba kuna waliopewa vyeo baada ya usaliti huo lakini heshima yao mbele ya jamii imepukutika mithili ya majivu kwenye upepo mkali.

Kwahiyo wanachopaswa kutambua wasaliti wapya na wajao ni kwamba usaliti wao utawagharimu heshima na utu wao mbele ya jamii kama ilivyowagharimu wasaliti waliopita ambao sasa wamepoteza kila kitu mbele ya Jamii, japo wamepata hela baada ya kununuliwa, hawaheshimiki na yeyote na wamedharauliwa moja kwa moja.

Muda utaongea .....
An institution can never be fought and die. This is the law of social development - co-existence of opposites.
 
Kuumia naumia ila siwezi endelea kuunga safari ambayo hao ninawaunga mkono sijui safari yao wanaelekea wapi. We unaweza kuwa bsy unahangaika na akina halima mdee ukidhani mnapigania haki usawa, maisha bora kwa watu wote, kumbe kama ilivyojidhihirisha wao wanapigania matumbo yao. Mtu kakaa bungeni miaka 10, lakini anaona kukaa nje miaka 5 kusimamia msimamo wa chama chake hawezi. Halfu utamkuta jukwaani vijana mjiajiri 😂 😂 😂 😂

Mkuu ukipata nafasi achana na siasa we kula tu. we humuoni pole pole alivyong'aa siyo pole pole wa enzi za katiba
Mapenzi ni kuumia Mkuu unafikiri kama kuumia kusingekuwepo kungekuwa na mapenz...
Kuumia unapoona kuna jambo la hovyo limetendeka ndo mapenzi yenyewe sasa Mkuu
Ushauri wako ni mzuri ila mkuu hapo tutakuwa tunakaa na kimwili tu ilhali roho zetu zipo chadema...
sasa sijui tumekimbia kuyaoga maji wakati tutayanywa tuu...
 
Uchaguzi mkuu ni halali kwa mujibu wa tume ya uchaguzi na Katiba ya JMT.

Madiwani na Wabunge wa vyama hivi cdm na act waendelee kuwatumikia wananchi walio wa amini na kuwachagua. Wakifukuzwa uanachana ili kuzuiwa kushiriki haki yao waende mahakamani kuweka zuio la maamuzi haya ya kipuuzi ya watu wschache wanaofikiri vyama hivi ni mali yao.

Hawa viongozi wao wakuu wanaopiga kelele za kutoutambua uchaguzi ni wafanyabiasha ya siasa aka Wajasiria siasa na kwa kweli muda mrefu wamekuwa wsnarndesha maisha yao hivyo. Ujasiria siasa ni biashara iliyokuwa inalipa na ilishamiri awamu ya 4. Kumbuka sakata la Jairi katibu masurufu na fikiri.

Awamu ya 4 biashara hii ilishamiri hadi kufikia kuvuka mipaka ya nchi ikaungana na mitandao ya kimataifa ya biashara hii. Ndio hao baadhi wanajita wanaharakati wa kimataifa kama akina amsedani walio ungana na Lissu, zitto, cdm na ACT. Wameungana kufanya ujasiriasiasa. Kwa hapa Tanzania waasisi wa biashara hii ni yule babu wa Polepole, almaruhu Mchungaji nk.

Serikali inao wajibu wa lazima wa kuhakikisha ina walinda wale viongozi wote waliochaguliwa kupitia vyama vya upinzani kusiwepo na kufanikiwa kwa njama hizi zinazo endelea kuwakwamisha.

Wajibu mwengine wa serikali unatakiwa uwe ni kuhakikisha vyama vya siasa vinakuwa taasisi za raia na sio vikundi vya genge la baadhi ya wahuni kuendeshea biashara zao za kisiasa.

Maadamu tumekubaliana kama Taifa na kutunga sheria ya kikatiba kuwa na mfumo wa vyama vingi, basi serikali haiwezi kukimbia wajibu wake wakuvisimamia vyama hivi kikamilifu.

Kelele zote tuzisikiazo kutoka upinzani ni kutafuta jinsi ya kutengeneza mazingira. Hamna zaidi ya hilo na wananchi msikubali kuhadaika.
 
Mapenzi ni kuumia Mkuu unafikiri kama kuumia kusingekuwepo kungekuwa na mapenz...
Kuumia unapoona kuna jambo la hovyo limetendeka ndo mapenzi yenyewe sasa Mkuu
Ushauri wako ni mzuri ila mkuu hapo tutakuwa tunakaa na kimwili tu ilhali roho zetu zipo chadema...
sasa sijui tumekimbia kuyaoga maji wakati tutayanywa tuu...
Aisee mapenzi yana condition pia mimi sina unconditon love. Aisee siwezi kuendelea kuumia nikiwa niko kwenye cruiser V8 la mwaka 2020, nikiwa na dereva halafu pesa kila mwezi inaingia milion 12. Hata nikiumia uchungu wangu siyo sawa na wewe unayeumia ukiwa umekaa kwenye boda boda unapita kwenye jua la dar unachomeka.
Mkuu ukiitwa kupigania jambo, kabla ya kwenda uwe na hakika hao walikuita wanapigania nini hasa. Hivi we unadhani wale vijana 200 waliokamatwa huko wakisikia hizi habari wanajiskiaje?
Mimi kwakweli harakati zangu ni za maisha bora kwa familia yangu na kizazi changu.
 
Huu ndio ukweli unaofahamika kila mahali , Mifano ya waliokuwa wana CHADEMA na kusaliti chama chao waliodhalilika baada ya uamuzi wao huo ni mingi mno, hatuna haja ya kuirudia, ni kweli kwamba kuna waliopewa vyeo baada ya usaliti huo lakini heshima yao mbele ya jamii imepukutika mithili ya majivu kwenye upepo mkali.

Kwahiyo wanachopaswa kutambua wasaliti wapya na wajao ni kwamba usaliti wao utawagharimu heshima na utu wao mbele ya jamii kama ilivyowagharimu wasaliti waliopita ambao sasa wamepoteza kila kitu mbele ya Jamii, japo wamepata hela baada ya kununuliwa, hawaheshimiki na yeyote na wamedharauliwa moja kwa moja.

Muda utaongea .....

Heshima hailipi bills, hela does. Hao wabunge wa VM na Mbowe aliyepeleka majina na kupokea mgawo wanaendelea kuingiza mpunga.
 
Aisee mapenzi yana condition pia mimi sina unconditon love. Aisee siwezi kuendelea kuumia nikiwa niko kwenye cruiser V8 la mwaka 2020, nikiwa na dereva halafu pesa kila mwezi inaingia milion 12. Hata nikiumia uchungu wangu siyo sawa na wewe unayeumia ukiwa umekaa kwenye boda boda unapita kwenye jua la dar unachomeka.
Mkuu ukiitwa kupigania jambo, kabla ya kwenda uwe na hakika hao walikuita wanapigania nini hasa. Hivi we unadhani wale vijana 200 waliokamatwa huko wakisikia hizi habari wanajiskiaje?
Mimi kwakweli harakati zangu ni za maisha bora kwa familia yangu na kizazi changu.
sawaa Mkuu 👏
 
Ila Kama kweli Galina aligushi nyaraka, atakuwa kajivunjia heshima Sana. Na Kama Kuna kiongozi wa juu ambaye atakuwa alikuwa akijua huu mpango ovu wa kukihujumu chama, awe yote awajibike.
 
Hii issue na Nasrat ni kiboko..yaani kajaza form ya kuomba uteuzi wa Ubunge viti maalum akiwa gelezani aisee...

afu kapeleka kusainiwa na Katibu mkuu wake wa chama akiwa gelezani...

Afu akapeleka form kwa Hakimu kusainiwa akiwa gelezani..

Afu tarehe 23rd akatoka gelezani usiku then kesho yake tarehe 24th anaapishwa kuwa mbunge...

Yaani hili ni zaidi ya muvi la kihindi aisee...si mchezo
Hii inapatikana Bongo land tu nchi ya kusadikika.
Hii muvi kiboko. Hata mtoto mdogo hawezi kuiamini. Kweli sisi ni Wadanganyika.
 
Chadema inabidi ing'olewe kutoka kwenye makucha ya viongozi wenye tamaa na wasio na maono na kuiwekewa kwa mikono ya wananchi kama taasisi. Mh. Aida Khenani mbunge wa Nkasi, ameonyesha ukomavu wa kisiasa kuliko uongozi mzima wa Chadema
pumba zikikomaa zinakuwa mashudu
 
Huu ndio ukweli unaofahamika kila mahali , Mifano ya waliokuwa wana CHADEMA na kusaliti chama chao waliodhalilika baada ya uamuzi wao huo ni mingi mno, hatuna haja ya kuirudia, ni kweli kwamba kuna waliopewa vyeo baada ya usaliti huo lakini heshima yao mbele ya jamii imepukutika mithili ya majivu kwenye upepo mkali.

Kwahiyo wanachopaswa kutambua wasaliti wapya na wajao ni kwamba usaliti wao utawagharimu heshima na utu wao mbele ya jamii kama ilivyowagharimu wasaliti waliopita ambao sasa wamepoteza kila kitu mbele ya Jamii, japo wamepata hela baada ya kununuliwa, hawaheshimiki na yeyote na wamedharauliwa moja kwa moja.

Muda utaongea .....
Naona stress zimepungua umeibuka sasa dada!! Pole sana dada. Wenye Saccos wameshaamua sasa wewe vuvuzela utafanyaje sasa!
 
Katiba ya Chadema imeweka wazi kabisa kuhusu adhabu ya wasaliti , maamuzi si yangu ni ya kamati kuu , na wala hayaangalii chochote zaidi ya kuwashughulikia wakosefu bila huruma yoyote , mtu pekee kwenye kundi lile anayeweza kunusurika ni Nusrat .
Wewe kwenye kamati kuu wala haumo. Wenyewe wamo wewe endelea kupiga domo tu dada na stress zako.
 
Back
Top Bottom