Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,377
- 3,394
- Thread starter
- #41
Ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaHuh!?!?! Mimi ni mbeba maboksi tu. Kwenye medani za wasomi wa spesho skul sipo kabisa aisee.
Darasa la saba nilifeli, form four nikafeli, form six ndo sikwenda kabisa.
Baada ya kumaliza form four nikaanza kupiga boksi na sasa ninakimbiza mbaya.
I am an uber-proud blue-collar prezdaa wa wabeba maboksi wa kibongo kote ulimwenguni.
Wabeba maboksi oyeeeee......
Copy to gfsonwin
Last edited by a moderator: