Ukweli Mchungu: Wadangaji tuna Maisha mazuri kuliko Wanawake walio Ndoani

Ukweli Mchungu: Wadangaji tuna Maisha mazuri kuliko Wanawake walio Ndoani

Nusratt

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
1,707
Reaction score
4,192
Utakataa na kufyonza pengine hata kuniporomoshea matusi, ila huu ndio ukweli mchungu kwa baadhi ya wanawake walio ndani ya ndoa zao ambao hawataki kuusikia abadani.

Nina siku ya 4 leo tangu nimetoka vacation Dubai, haijalishi nimetumikaje au nani kanitumia nikiwa huko, ila kiukweli nimeridhika na haya maisha ninayoishi.

Najua wanawake wengi sana wanatamani maisha tunayoishi sisi.
Sijasema msiolewe, nyie kama mmechagua kuolewa ni ninyi.
Kila mtu abaki na amani ya moyo wake.

Ila kiufupi ni kuwa sisi tuna maisha mazuri na yenye furaha kuliko ninyi.

Nimejenga
Nina biashara huria
Nina usafiri wa kutembelea
Kwanini nisijisifu?

Muhimu tujali afya zetu tu.
 
Utakataa na kufyonza pengine hata kuniporomoshea matusi, ila huu ndio ukweli mchungu kwa baadhi ya wanawake walio ndani ya ndoa zao ambao hawataki kuusikia abadani.

Nina siku ya 4 leo tangu nimetoka vacation Dubai, haijalishi nimetumikaje au nani kanitumia nikiwa huko, ila kiukweli nimeridhika na haya maisha ninayoishi.

Najua wanawake wengi sana wanatamani maisha tunayoishi sisi.
Sijasema msiolewe, nyie kama mmechagua kuolewa ni ninyi.
Kila mtu abaki na amani ya moyo wake.

Ila kiufupi ni kuwa sisi tuna maisha mazuri na yenye furaha kuliko ninyi.
Precision is better than speed
 
20250807_163555.jpg
 
Utakataa na kufyonza pengine hata kuniporomoshea matusi, ila huu ndio ukweli mchungu kwa baadhi ya wanawake walio ndani ya ndoa zao ambao hawataki kuusikia abadani.

Nina siku ya 4 leo tangu nimetoka vacation Dubai, haijalishi nimetumikaje au nani kanitumia nikiwa huko, ila kiukweli nimeridhika na haya maisha ninayoishi.

Najua wanawake wengi sana wanatamani maisha tunayoishi sisi.
Sijasema msiolewe, nyie kama mmechagua kuolewa ni ninyi.
Kila mtu abaki na amani ya moyo wake.

Ila kiufupi ni kuwa sisi tuna maisha mazuri na yenye furaha kuliko ninyi.
Life is how you make it, usilazimishe life style yako, ionekane taking, ya, maana kuliko life style za wengine,
Upo Dubai, unakula bata, una watoto bongo? Una mume bongo? Anasubili umpatie maradhi!? Kwenda Dubai vacation, kwako ni big deal kiasi hicho? Sister vitu vya kawaida Sana hivyo! What is ur endgame baada ya kufika 40+? Uta kuwa hauna mvuto tena, wapo watoto wa, 2000 watatake over!
 
umekuwa muwazi bila kona kona.
Hakuna wakukubishia labda mdangaji mwenzio asie furahia maisha kama wewe.
Kama ulivosema haijalishi unatumikaje mradi unaishi vizuri.
Kama hujafikisha 40s Danga sana binti maisha ndo haya haya...
Pm yako leo haitapumua....
 
Life is how you make it, usilazimishe life style yako, ionekane taking, ya, maana kuliko life style za wengine,
Upo Dubai, unakula bata, una watoto bongo? Una mume bongo? Anasubili umpatie maradhi!? Kwenda Dubai vacation, kwako ni big deal kiasi hicho? Sister vitu vya kawaida Sana hivyo! What is ur endgame baada ya kufika 40+? Uta kuwa hauna mvuto tena, wapo watoto wa, 2000 watatake over!
Punguza hasira.
Tafuta pesa mkuu, hizi ni kelele tu kama kelele nyingine
 
Kutombwa ovyo ovyo na wanaume nalo ni jambo la kujivunia? Tuliza pussy hiyo kwa mume

Inaonekana unapitia trauma umekuja kutafuta nafuu humu ujifariji

Sisi wanaume huwa tunawatumia wadangaji kama malaya

Kila aina ya sexual fantasies chafu ambazo hatuwezi kuwafanyia wake zetu wapendwa nyie ndio huwa majaribio yetu
 
Back
Top Bottom