Debwadebwa
Senior Member
- Sep 29, 2014
- 193
- 235
Dogo acha Uchawi
HahahahhahahahaDah kweli mchawi binadamu
Paka anatumwa tu
mbona sjaona uchawi wa jamaaDogo acha Uchawi
Suala hapa siyo bei, tunazungumzia ubora Wa bidhaa yenyewe
Imebidi nicheke tuMleta mada hujawahi kwenda bar ....ukakuta huyu anakunywa castle light ...yule anakunywa kilimanjaro hao wanakunywa soda.....ama umeshawahi jiuliza yule kaoa mwanamke mweusi huyu kaoa mweupe ...mwingine kaoa mwanamkeb mfupi....ungejiuliza haya maswali usingeleta hii mada....usidhani kila mtu ana pua kama yako
Yaap hii kama nlionunua mm nmeshindwa kupost msije kuniona wa col mi jay bure, nliogopa.Msiongee sana picha hiyo hapo.
View attachment 502469
Nakuelewaa wewe #cocochanel# acha tu.Ungekuwa umeinunua ungeeleza mambo muhimu sana kwa kuya point out.
Wewe ni muongoooooooooo, labda uaishia kujipuliza na tester ya madukani tu kama hata umeweza kwenda zinapouzwa.
Acha wivu, fanya yako.
Jinsia yako tafadhariTeh teh teh ! Kainunue harafu utakuja kunipa majibu kwenye huu uzi
Sasa kama biashara ya Juicy inalipa kwanini usiifanye wewe, au wewe hutaki hela ?Ukiwaambia ukweli utaambiwa hater hivi kweli niache perfume ya CD au ya majina makubwa nikanunue hiyo yaani ungefwata ushauri wa jamaa humu jamii forum bora ungeanzisha juice ungeuzaa sana hata watoto wangenunua kwa wingi na ungepata faida angalia bakhresa ombeni ushauri kwa wasomi wa biashara
Piga picha yako hii hata mm nnayo kwenye cm
Huna uwezo wakuinunua
Pole sana