Ukweli mchungu: Perfume ya Diamond (Chibu) haina quality

Suala hapa siyo bei, tunazungumzia ubora Wa bidhaa yenyewe

Ukiwaambia ukweli utaambiwa hater hivi kweli niache perfume ya CD au ya majina makubwa nikanunue hiyo yaani ungefwata ushauri wa jamaa humu jamii forum bora ungeanzisha juice ungeuzaa sana hata watoto wangenunua kwa wingi na ungepata faida angalia bakhresa ombeni ushauri kwa wasomi wa biashara
 
Mleta mada hujawahi kwenda bar ....ukakuta huyu anakunywa castle light ...yule anakunywa kilimanjaro hao wanakunywa soda.....ama umeshawahi jiuliza yule kaoa mwanamke mweusi huyu kaoa mweupe ...mwingine kaoa mwanamkeb mfupi....ungejiuliza haya maswali usingeleta hii mada....usidhani kila mtu ana pua kama yako
Imebidi nicheke tu
 
Unaposema mbaya inabidi tujue ni
Performance, projection, longevity,sillage, ama ni nn tatizo?
 
Tuache ushamba hivi hiyo guality inapimwaje.unajua mana ya quality?kiswahili ni ubora je ni chombo gani kinasibitisha ubora Wa vitu kama hujui ni TBS kwa upante tz.je TBS wamesibitsha au hapana?et we mleta mada(usuuuuzi)
 
Ukiwaambia ukweli utaambiwa hater hivi kweli niache perfume ya CD au ya majina makubwa nikanunue hiyo yaani ungefwata ushauri wa jamaa humu jamii forum bora ungeanzisha juice ungeuzaa sana hata watoto wangenunua kwa wingi na ungepata faida angalia bakhresa ombeni ushauri kwa wasomi wa biashara
Sasa kama biashara ya Juicy inalipa kwanini usiifanye wewe, au wewe hutaki hela ?
 
Back
Top Bottom