Cc:lizaboni...mkuu mara mwisho ulikuja na story DSTV wameshindwa kulipa pango wamewekaa vitu vyao viwanja vya leaders...leo umekuja na story ya perfume ya chibu Songea umehama kabisa upo Dar?mwache dogo afanye biashara wewe endelea na mambo yako ya lumumba kumsupport Magufuli na kumpinga Lowassa hicho ndio kipaji chako mambo ya biashara huna unachojua.Nimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
Kwa watumiaji wa perfume.. Wanajua kabisa kuwa wewe sio mtumiaji.. Ni Mnafki.. Endelea na bodyspray zako bhanaaNimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
Aisee nami naungana nawe mkuuJamani kama kuna mtu anaweza kutengeneza pafyumu yenye harufu ya udongo uliolowa afanye hivyo maana navyopenda hii harufu nyie acheni tu
Eti wamerekani wamenunua Hahahahahahaha anafikiri ubora wa bidhaa hupimwa hivyo? Kwa taarifa yako wamerekani wengi wakienda chooni hawabebi maji nawe iga sasa uone balaa .
Hana uwezo wa kuinunua inauzwa milioni au?????sio kila mtu fukara kama wewe mkuuHuna uwezo wakuinunua
Pole sana
Kwani inauzwa million ngapi?Huna uwezo wakuinunua
Pole sana
Umenunua ww wakala au
Kwani inauzwa million ngapi?
Mkuu wife kaniletea hiyo perfume huwezi hata kuilinganisha na Blue for men.haina ubora ni mbovuSuala hapa siyo bei, tunazungumzia ubora Wa bidhaa yenyewe
Hujanunua!Nikainunue kwanza!!
Hahaha Watu Marekani walisha inunua
mimi Hapa Bongo niwe Bado!!
Punguza Chuki zakijinga
Aliye pewa kapewa tu