20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,760
Hutokagi njee kuisikilizia kidogo.Kumbe tupo wengi mkuu
Hutokagi njee kuisikilizia kidogo.Kumbe tupo wengi mkuu
Mvua ikinyeesha lazima nitoke tatizo haidumu muda mrefu hii harufuHutokagi njee kuisikilizia kidogo.
Changamoto hiyoo mkuuMvua ikinyeesha lazima nitoke tatizo haidumu muda mrefu hii harufu
Ishike upige picha tuamini kama umeinunua kweli.Nimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
umejuaje kama.hana uwezo mkuuHuna uwezo wakuinunua
Pole sana
Having anger towards everyone reaching success =HATERSpoor you
mkuu yalekea we madorian unakula bila wasiMi mpaka niisikie harufu yake ndiyo nitajua nzuri au mbaya maana wengine huwa tunapenda hata harufu ya kwapa au hata harufu ya mafuta ya taa
Ney kuinunua hakuifanyi kuwa na kiwango ndugu kwani haifanyii marekebisho yoyote, itabaki kuwa km ilivyo
Nimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
Bahati mbaya unabishana na mimi kwa kutumia habari na sifa za hii pafyumu kama ulivyoziskia kupitia vyombo vya habari, Kainunue kwanza ndio uje kubishana na mimi
Suala hapa siyo bei, tunazungumzia ubora Wa bidhaa yenyewe
Teh teh teh ! Kainunue harafu utakuja kunipa majibu kwenye huu uzi
Hata kama ingenunuliwa mbinguni, kinachozungumziwa hapa haina ubora wowote na hata walionunua no kwa sababu ndio kwana ilikuwa inaingia sokoni na kwa namna ilivyonadiwa watu walijua kweli INA kiwango kumbe Hanna kitu. Nakuhakikishia haitudumu sokoni
Nibozali mbona umeamua kupanga mashambulizi yasiyo na tija kwa kijana huyu wa kitanzania anayefanya jitihada za kutengeneza taswira nzuri kwa nch yetu?! Kwanza wewe sio mshauri mzuri kwa sababu hukuweza kutuambia ubora unao uhoji ni kwa kitu gani katika hiyo product! Harufu? Presure ya ku spray? Harufu kudumu, etc, mimi sio mtaalamu wa hizi bidhaa lakini nafikiri kuna vigezo vinavyotumiwa kupima ubora wake. Hebu tujiulize yule umpendaye wewe kwani lazima sisi wote tumpende? Moja ya sifa ya kitu kizuri ni appearance yake, CHIBU inavutia macho, pili kuuzika kwa kitu kunategemea jinsi unavyo kiuza, promotions. Diamond anajitahidi kuiuza Chibu. Sio wanawake wote ni wazuri, ila kupitia makeups na adverts humkuti mbaya.Na ni ukweli pia japo unauma
Tengeneza yako uifanyie maboresho halafu uitumie. Tuondolee shombo hapaNimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
Sawa ni mbaya.. Lakini Acha tuanzie Hapo...Nimeinunua na nimeitumia, namshauri aifanyie marekebisho vinginevyo haitadumu sokoni. Ni hayo tu hata kwa wale mliopanga kuinunua muelewe hivoView attachment 502448
PichaNinayo mbona
Msiongee sana picha hiyo hapo.
View attachment 502469