Muanzishie uzi ueleze hayoWewe ndiyo Nyumbu kiwewe hujui kuwa Gambo anajinadi kugombea Arusha?
Tuanzishe huo uzi mara ngapi wewe Bashite?Muanzishie uzi ueleze hayo
Akili huna wewe!Tuanzishe huo uzi mara ngapi wewe Bashite?
Halmashauri ya CHADEMA Arusha ndio inajenga Madarasa ya ghorofa Ngarenaro Sec na ccm hawakuwahi fanya jambo hilo zaidi ya miaka 50 ya Uhuru. Au hukuona? Ulifumba macho? Au utasema hajafanya Lema? Ulitaka akabebe zege yeye ndio ujue kafanya? Huna hoja Ryan Babel tena unadhalilisha jina mchezaji ninayempenda sana! Huna hoja kabisaUko wapi sasa
Naomba tukutane hapo Ngarenaro usikie kama kuna maendeleo atayaongea
Mmh! Nyomi hata white head alikuwa nayo jamani,lakini wapi.Tukutane Ngarenaro leo uone Nyomi ya Lema
Mabwana zako wapo Dodoma buku7 zenu mnalipwajeGambo ni mkuu wa mkoa
Sasa hapa amefikaje?
Nyumbu katoka nje ya mada
Tunatumiwa Mpesa!Mabwana zako wapo Dodoma buku7 zenu mnalipwaje
Unataka kutatuliwa marinda mpaka utake no yangu?Tunatumiwa Mpesa!
nipe namba yako nawe nikuunganishe upate mgao kesho
Lema ndiyo mbunge wa maisha hapa Arusha hakuna takataka ya ccmAkili huna wewe!
Lema out 2020
Lema ni mandelaMmh! Nyomi hata white head alikuwa nayo jamani,lakini wapi.
Sema baba semaHao watu au umati alioukusanya umetoka kwenye ukoo wako? Shwain, kutwa kukalia ujinga ilhali mamako kijijini anashindia mihogo
Tunampenda hivyo hivyoTangu October 2015 hadi sasa amefanya kipi cha maana
Arusha hatuijui kabisa ccmMuanzishie uzi ueleze hayo
Lema ndiyo MANDELA WA TANZANIA na ulimwengu unajua hivyoAcheni kumfananisha Mandela na watu wa hovyo tafadhali! Mandela spent nearly 27 years in the jail, your boy has just spent 4 months halafu mnataka nyie wazee mnataka kumvisha majina ya African legends??