Ukweli mchungu, Lema mwisho wake 2020

Ukweli mchungu, Lema mwisho wake 2020

Tanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija. Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao

Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!

Siasa za Arusha zimebadilika, CCM wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa
2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi
Jipe moyo dogo
 
Hata Baba Jesca afanyeje hawezi kujaza umati wa Lema.
Ndoto ndoto lazima itimie. Ndoto mbona unachelewa?
Nasikia juzi morogoro ilibaki kidogo ndoto itimie
 
Ninavyoona wananchi wa Arusha bado tuna imani kubwa na LEMA,

nadhani msema kweli ni sanduku la kura la halali.

Mimi binafsi napenda LEMA aendelee kuwa Mbunge wa Arusha, Naamini ataendelea!

Arusha ina asili ya kupenda mabadiliko tokea enzi za Mwalimu Nyerere.
 
UKIWA UNAFIKRA KWAMBA KUNA MTU AU CHAMA KITATAWALA MILELE ENEO FULANI, UTAKUWA UNAONYESHA ZARAU KWA WATU WA ENEO HILO KWAMBA HAWAFAHAMU KITU MABADILIKO.
 
Ninavyoona wananchi wa Arusha bado tuna imani kubwa na LEMA,

nadhani msema kweli ni sanduku la kura la halali.

Mimi binafsi napenda LEMA aendelee kuwa Mbunge wa Arusha, Naamini ataendelea!

Arusha ina asili ya kupenda mabadiliko tokea enzi za Mwalimu Nyerere.
Wewe binafsi lakini wengi wa wanaarusha wanapenda mabadiliko kama ulivyosema

Mabadiliko 2020 Arusha hayaepukiki!
 
Tanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija. Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao

Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!

Siasa za Arusha zimebadilika, CCM wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa
2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi
Nafikiri ungeanza na mmbunge wako Livingstone lusinde, ningekuona unaakili kidogo
 
Wewe ni mjinga....! Ccm wanampotezea muda lema kwa kumuweka ndani kwa makosa ya viini macho....! Ivi nyie watanzania mpaka nchi inunuliwe ndo muwe na akili??? Acha kupost ujinga..!
 
Kaka kama unakosea unataman mchukuwe jimbo nn? Tulieni dawa ndio inaingia taratibuuuu. Ndio maana wale wasliti mmewarudisha. Looo
 
Tanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija. Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao

Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!

Siasa za Arusha zimebadilika, CCM wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa
2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi
Mim nimwana arusha jimbo hili chadema waeke paka au jiwe kwenye uchaguzi ccm waeke mtu tutachagua jiwe au paka.vitakua na akili kuliko mtu wa ccm kumpa hapa
 
Back
Top Bottom