boroyangll
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 223
- 104
Utakuwa unaingiliwa kinyume na maungo yako,akili yako kweli,unapaswa kwenda kupimwaKwa magufuli huyu atatulia hii ni awamu ya tano
Utakuwa unaingiliwa kinyume na maungo yako,akili yako kweli,unapaswa kwenda kupimwaKwa magufuli huyu atatulia hii ni awamu ya tano
Sio rahisi lema kuangushwaTanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija. Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao
Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!
Siasa za Arusha zimebadilika, CCM wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa
2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi
Huna sera anakuingilia huyo anae kupa mzukaUtakuwa unaingiliwa kinyume na maungo yako,akili yako kweli,unapaswa kwenda kupimwa
Lema ni sawa na Mandela ebu angalia maelfu ya wana wa Arusha tulivyojitokeza leo kumsikiliza mh mbunge wetu kipenzi,mbunge wa maisha jijini ArushaaaaaaTanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija. Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao
Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!
Siasa za Arusha zimebadilika, CCM wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa
2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi
Na hapo ni baada ya kutuwacha kwa miezi 4 sawa na siku 120 na kushuhudia maccm yakijitapa na kujipa sifa za hovyo hovyo tuTanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija. Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao
Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!
Siasa za Arusha zimebadilika, CCM wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa
2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi
LEMA na CHUGA.
CHUGA na LEMA.
VIVA KWA MAKAMANDA WOTE.
.....
.....Mfalme wa Arusha Simba wa Yuda Mandela wa Tanzania Leo anaunguruma Ngarenaro shule ya msingi ....Nyomi tayari....
Nirahisi kwa twiga kupenya kwenye tundu la sindano kuliko CCM kumshinda Lema Arusha.
KoromijeHuyu jamaa wa wapi jmn![]()
Umemsahau na BurianiMuulize Monaban , hata kile kiwanda cha unga kanyang'anywa .
Umejiunga Leo jf kuja kukisifia Chama Chakavu?BashiteKwa magufuli huyu atatulia hii ni awamu ya tano
Hivi nawe ni GT?nyambiziArusha Hatuna mbunge tuna domo
Wewe ndiyo Nyumbu kiwewe hujui kuwa Gambo anajinadi kugombea Arusha?Gambo ni mkuu wa mkoa
Sasa hapa amefikaje?
Nyumbu katoka nje ya mada
Mabadiliko kwa Arusha ni kuiondoa ccm mpaka milingoti ya bendera zao kabisaWewe binafsi lakini wengi wa wanaarusha wanapenda mabadiliko kama ulivyosema
Mabadiliko 2020 Arusha hayaepukiki!