Ukweli mchungu kuhusu Magari used

Hii thread niliisoma humuhumu au mi ndo naishi mbele ya muda,maana nilishasoma🀣🀣
 
Toleo la 20, ila odometer ni kama tolea la 80/90s.
Japo magari used hayakwepeki, lakini tafuta refurbished.
Ila pia hili gari lidumu ni utunzaji, tununue magari tunayoweza kuya maintain.
 
Toleo la 20, ila odometer ni kama tolea la 80/90s.
Japo magari used hayakwepeki, lakini tafuta refurbished.
Ila pia hili gari lidumu ni utunzaji, tununue magari tunayoweza kuya maintain.
Mbaya zaidi aliyekua anaimiliki gari alikua anaihudumia vizuri, gari imeshazoea kwa wiki matumizi ya mafuta ni 500k halaf wewe unaweka mafuta ya 10k.

Hapa ndo unakuta hata gari yenyewe inatamani kurudi kwa mmiliki wa awali
 
Mbaya zaidi aliyekua anaimiliki gari alikua anaihudumia vizuri, gari imeshazoea kwa wiki matumizi ya mafuta ni 500k halaf wewe unaweka mafuta ya 10k.

Hapa ndo unakuta hata gari yenyewe inatamani kurudi kwa mmiliki wa awali
Hapo ndio utajua nini maana ya Zombie
 
Sasa mkuu asilimia kubwa naona wengi sana wananunua magari used ...naona ni asilimia chache sana unakuta wananunua mpya πŸ˜‚.....la sivyo tu uwe mzee wa magari ya day waka sana mpk utakapotulia ununue mpya
 
Gari used mbaya zaidi unakuta hata mfumo wa "eksozi" mtumiaji wa awali ameshauharibu, inatia hasira sana na unakuta umetoa hela nyingi kulinunua.
 
Sasa mkuu asilimia kubwa naona wengi sana wananunua magari used ...naona ni asilimia chache sana unakuta wananunua mpya πŸ˜‚.....la sivyo tu uwe mzee wa magari ya day waka sana mpk utakapotulia ununue mpya
atleast upate gari ambayo imetembezwa kilomita chache na walau ilimilikiwa na mtu mmoja kabla yako
 
Gari used mbaya zaidi unakuta hata mfumo wa "eksozi" mtumiajia wa awali ameshauharibu, inatia hasira sana na unakuta umetoa hela nyingi kulinunua.
kwani hamfanyi testing kabla ya kununua magari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…