hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,399
- 2,369
Hii thread niliisoma humuhumu au mi ndo naishi mbele ya muda,maana nilishasomaπ€£π€£Ukinunua gari used/ mtumba, utabeba mzigo wote wa aliyepita nalo.
Dent, engine knock, interior mbovu β zote ni zako sasa.
Cha kuchekesha, yule mmiliki wa kwanza aloyekuuzia bado analiangalia kwa jicho la kumbukumbu, na kuna muda analitamani kabisa hilo gari aliendeshe tena.
Kila akikuona nalo barabarani, anajisemea:
βHii ngoma nimesukuma zaidi ya km 200,000 kwa miaka niliyokaa nalo si mchezo.β
Atawaambia marafiki zake, majirani, na hata waliomshuhudia akilikabidhi kwa mwingine.
Na wengine walilitumia tu hadi likaisha radha, ulivyo bumunda ukanunua hivyo hivyoππ.
Na mbaya zaidi?
Mmiliki wa zamani bado ana spare key β anaweza kulifikia hilo gari lako muda wowote na akaliendesha so sad.
Mwandishi hauwawi kazi yangu ni kuwaandikia wamiliki wa magari used, kila la kheri kwenu wamiliki wa magari used.
kama unaplan kumiliki gari jitahid usiwe dereva wa gari lililopitia mikononi mwa kila mtu
Kama una nafasi β chukua jipya, uanze mwenyewe, na ulipe direction unayotaka.
Gari kama gariNB: Huu uzi hauhusiani na magari
Uliyo isoma ilikuwa inahusu magari tofauti na hiiHii thread niliisoma humuhumu au mi ndo naishi mbele ya muda,maana nilishasomaπ€£π€£
Mbaya zaidi aliyekua anaimiliki gari alikua anaihudumia vizuri, gari imeshazoea kwa wiki matumizi ya mafuta ni 500k halaf wewe unaweka mafuta ya 10k.Toleo la 20, ila odometer ni kama tolea la 80/90s.
Japo magari used hayakwepeki, lakini tafuta refurbished.
Ila pia hili gari lidumu ni utunzaji, tununue magari tunayoweza kuya maintain.
Hapo ndio utajua nini maana ya ZombieMbaya zaidi aliyekua anaimiliki gari alikua anaihudumia vizuri, gari imeshazoea kwa wiki matumizi ya mafuta ni 500k halaf wewe unaweka mafuta ya 10k.
Hapa ndo unakuta hata gari yenyewe inatamani kurudi kwa mmiliki wa awali
Magari mabikira, kwa sasa, yapo mbinguni tuepuka kununua gari used, labda kama na wewe una mpango wa kulitumia kwa mda mfupi na kumuuzia mwingineπ
Itakua inaenda kama konokono hiyo engine isukume uzito wa LC sio mchezo..Unakutana na gari ina bodi ya LC 300 engine ya Nadia no. A
atleast upate gari ambayo imetembezwa kilomita chache na walau ilimilikiwa na mtu mmoja kabla yakoSasa mkuu asilimia kubwa naona wengi sana wananunua magari used ...naona ni asilimia chache sana unakuta wananunua mpya π.....la sivyo tu uwe mzee wa magari ya day waka sana mpk utakapotulia ununue mpya
Hamna mkuu, hata ukitest utaona gari iko poa ukija kwenye matumizi ndio unaanza kuona tofauti.kwani hamfanyi testing kabla ya kununua magari?
Wajapan hawajawahi kutengeneza gari used.Hata hayo unayoona mapya ni ma used ya wajapan huko