Ukweli mchungu: Kibiashara Facebook is more powerful than Instagram

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,280
27,704
Ukimuona mtu anaichukulia poa Facebook basi huyo sio mfanyabiashara wala mjasiriamali.

Hajui chochote kuhusu business.

For your information Facebook is more better in business than instagram.

Ina watu wengi sana ambao wapo active na wanafikika kwa kirahisi sana kuliko Instagram.

# Facebook mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom