Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,697
Juzi niliangalia Video ya mdada anayefanya u sugar baby Akihojiwa, anasema yeye anadate na wanaume wenye pesa Nyingi, ili apewe pesa itakayomfanya aishi maisha ya juu.
Anasema aki-interact na wanaume wanaomuhonga, kiuhalisia hafurahii kabisa anapoongea nao na anapokua nao kwenye date, ila anachofanya ni maigizo kuwa anawapenda na anawafurahia hao wanaume ili apate hela, anaigiza kufurahia uwepo wa mwanaume ila kiuhalisia rohoni anakereka.
Nikasema mmh kazi ipo, jiulize mdada anaetaka umuhonge uli ukutane nae, rohoni anajisikiaje.
Anasema aki-interact na wanaume wanaomuhonga, kiuhalisia hafurahii kabisa anapoongea nao na anapokua nao kwenye date, ila anachofanya ni maigizo kuwa anawapenda na anawafurahia hao wanaume ili apate hela, anaigiza kufurahia uwepo wa mwanaume ila kiuhalisia rohoni anakereka.
Nikasema mmh kazi ipo, jiulize mdada anaetaka umuhonge uli ukutane nae, rohoni anajisikiaje.