Ndugu zangu naomba walio na maarifa kuhusu teknolojia ya umeme wa jua wanipe elimu hivi yawezekana ukawa na umeme wa jua katika nyumba yako na ukatumia umeme kwa vyombo vyote ulivyo navyo kama tunavyofanya kwa umeme wa Tanesco na je gharama zake ni kama Sh ngapi za kibongo?
Nauliza hivi kwani kila siku nikisoma habari za umeme huu nakuta kazi yake ni kuwasha balbu, kuchaji simu na redio pekee.
Nimejenga kibanda changu mahala sasa umeme wa Tanesco nasikia watauleta baada ya miaka mitatu
asanteni. Nipeni desa wataalamu
Nauliza hivi kwani kila siku nikisoma habari za umeme huu nakuta kazi yake ni kuwasha balbu, kuchaji simu na redio pekee.
Nimejenga kibanda changu mahala sasa umeme wa Tanesco nasikia watauleta baada ya miaka mitatu
asanteni. Nipeni desa wataalamu