The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 461
Binafsi hainisumbui JK kupata phd ya heshima.
Kimsingi mtu kupewa phd ya heshima ya sheria kama alivopewa JK,hakumfanyi mtu kuwa mwanasheria wala kupata hadhi hiyo-hata kama ukipewa phd 200!
Kwa mfano,hauwezi kupractice wala kufanya bar exam uwe wakili wala kwenda law school..wala huwezi kufanya shuguli za aina yoyote za kisheria.
U need an earned LLB(1st law degree obtained from a recognised institution) to do that!
An honorary phd doesnt make u a lawyer!
Kimsingi mtu kupewa phd ya heshima ya sheria kama alivopewa JK,hakumfanyi mtu kuwa mwanasheria wala kupata hadhi hiyo-hata kama ukipewa phd 200!
Kwa mfano,hauwezi kupractice wala kufanya bar exam uwe wakili wala kwenda law school..wala huwezi kufanya shuguli za aina yoyote za kisheria.
U need an earned LLB(1st law degree obtained from a recognised institution) to do that!
An honorary phd doesnt make u a lawyer!