Ukweli kuhusu PHD aliyopewa kikwete!

Ukweli kuhusu PHD aliyopewa kikwete!

The Dude

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
1,029
Reaction score
461
Binafsi hainisumbui JK kupata phd ya heshima.
Kimsingi mtu kupewa phd ya heshima ya sheria kama alivopewa JK,hakumfanyi mtu kuwa mwanasheria wala kupata hadhi hiyo-hata kama ukipewa phd 200!

Kwa mfano,hauwezi kupractice wala kufanya bar exam uwe wakili wala kwenda law school..wala huwezi kufanya shuguli za aina yoyote za kisheria.
U need an earned LLB(1st law degree obtained from a recognised institution) to do that!
An honorary phd doesn‘t make u a lawyer!
 
Binafsi hainisumbui JK kupata phd ya heshima.
Kimsingi mtu kupewa phd ya heshima ya sheria kama alivopewa JK,hakumfanyi mtu kuwa mwanasheria wala kupata hadhi hiyo-hata kama ukipewa phd 200!

Kwa mfano,hauwezi kupractice wala kufanya bar exam uwe wakili wala kwenda law school..wala huwezi kufanya shuguli za aina yoyote za kisheria.
U need an earned LLB(1st law degree obtained from a recognised institution) to do that!
An honorary phd doesn‘t make u a lawyer!

Mkubwa unajua maana ya CV?. Unafikiri wale wasomi wote wa Udsm ni wajinga mpaka wakubaliane kumtunukia hii Phd? This man is Capable kinachotuumiza wabongo ni wivu, majungu na zaidi ni kufuata upepo tu ili mradi umesikia mwenzako kasema na wewe unalipuka, angalia usije ukaenda kaburini bila hata certificate ya chekechekea. watu wako busy they are working hard wewe piga majungu.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Uko sawa kabisa ndio maana wanapewa Marais kwani hawana haja ya ku-practice.
 
Binafsi hainisumbui JK kupata phd ya heshima.
Kimsingi mtu kupewa phd ya heshima ya sheria kama alivopewa JK,hakumfanyi mtu kuwa mwanasheria wala kupata hadhi hiyo-hata kama ukipewa phd 200!

Kwa mfano,hauwezi kupractice wala kufanya bar exam uwe wakili wala kwenda law school..wala huwezi kufanya shuguli za aina yoyote za kisheria.
U need an earned LLB(1st law degree obtained from a recognised institution) to do that!
An honorary phd doesn‘t make u a lawyer!

Wee nawee! Kwani nani hajui hayo?
 
Mkubwa unajua maana ya CV?. Unafikiri wale wasomi wote wa Udsm ni wajinga mpaka wakubaliane kumtunukia hii Phd? This man is Capable kinachotuumiza wabongo ni wivu, majungu na zaidi ni kufuata upepo tu ili mradi umesikia mwenzako kasema na wewe unalipuka, angalia usije ukaenda kaburini bila hata certificate ya chekechekea. watu wako busy they are working hard wewe piga majungu.

Sio majungu huo ni ukweli hez nt a lawyer and he will never be unless arudi shule..
Sio cv koz waelewa wanajua kabsa thts crap
 
Sio majungu huo ni ukweli hez nt a lawyer and he will never be unless arudi shule..
Sio cv koz waelewa wanajua kabsa thts crap

The whole world knows he is not a lawyer. And being a lawyer is not all that either!
 
Salim A. Salim; JK Nyerere wao walipata honorary Ph.D kutoka University za Nje ya Nchi

Huyu kaka yetu yeye anagombea zote za bongo??? na anavyosafiri nje ya nchi?
 
Sio majungu huo ni ukweli hez nt a lawyer and he will never be unless arudi shule..
Sio cv koz waelewa wanajua kabsa thts crap

Arudi shule ipi atakayoiweza? wakati yupo kijana na mambo hayakuwa mengi alipata GPA ya 2, sasa akisema arudi ni supplimentary kozi zote ktk semister ya kwanza
 
Kweli wivu ni mzigo. Hiyo phd aliyopewa inawapunguzia nini.
 
Arudi shule ipi atakayoiweza? wakati yupo kijana na mambo hayakuwa mengi alipata GPA ya 2, sasa akisema arudi ni supplimentary kozi zote ktk semister ya kwanza

Hahaha mi simo!
 
Wampe na PHD ya geography , kisha wampe na ya Urubani kabisa kasafiri sana anavigezo vyote
ya USANII imechelewa sana KOHOLE hawana PHD hata ya kuazima na Miss Tanzania wamapige TUZO ya tabasamu na kuchekacheka
 
Ni ujinga kupoteza muda na rasilimali kutafuta vitu visivyoongeza thamani katika maisha? Hizi digrii za kupewa zinakuongezea nini tofauti na kuitwa Dr? Angekuwa na hekima angepigania $5m za Mo kuliko hizi heshima za kudandia!
 
Wakuu tatizo ni title ya u- Dr, jamaa wako tayari kufanya chochote hilo lipatikane, issue ya u-dr imewatesa ccm na tlp sana
 
Wakuu tatizo ni title ya u- Dr, jamaa wako tayari kufanya chochote hilo lipatikane, issue ya u-dr imewatesa ccm na tlp sana

Tatzo ingekuwa mm napewa phd sijaifanyia kazi ningekataa kuitwa dr learned koz kila mara mtu ananiita dr ntakua nahisi ananisanifu au kunkejeli..
 
Kweli wivu ni mzigo. Hiyo phd aliyopewa inawapunguzia nini.

Haiendani na maana ya honorary degree. Ikiwa huelewi maana ya hiyo PhD soma hapa.

''An honorary degree (a degree honoris causa) (In Latin: "for the sake of the honour") is an academic degree for which a university/degree-awarding institution) award to someone as a way of honoring that person for his/her contributions to a specific field, or to society in general.

Honorary degree - Wikipedia, the free encyclopedia

Kulingana na matatizo makubwa yanayoendelea nchini na mwenendo wa utawala wa huyo bwana inakuwa vigumu kukubali kwamba anastahili heshima hiyo. Inaonekana amepewa kwa sababu za kisiasa au kuna watu wanatoa shukrani katika vyuo husika.
 
Haiendani na maana ya honorary degree. Ikiwa huelewi maana ya hiyo PhD soma hapa.

''An honorary degree (a degree honoris causa) (In Latin: "for the sake of the honour") is an academic degree for which a university/degree-awarding institution) award to someone as a way of honoring that person for his/her contributions to a specific field, or to society in general.

Honorary degree - Wikipedia, the free encyclopedia

Kulingana na matatizo makubwa yanayoendelea nchini na mwenendo wa utawala wa huyo bwana inakuwa vigumu kukubali kwamba anastahili heshima hiyo. Inaonekana amepewa kwa sababu za kisiasa au kuna watu wanatoa shukrani katika vyuo husika.

U said it right thnks mkuu..
 
Mkubwa unajua maana ya CV?. Unafikiri wale wasomi wote wa Udsm ni wajinga mpaka wakubaliane kumtunukia hii Phd? This man is Capable kinachotuumiza wabongo ni wivu, majungu na zaidi ni kufuata upepo tu ili mradi umesikia mwenzako kasema na wewe unalipuka, angalia usije ukaenda kaburini bila hata certificate ya chekechekea. watu wako busy they are working hard wewe piga majungu.

sio majungu. pamoja na wivu wa waTz. Kikwete kapewa ile PhD kisiasa, kama unavyojua ndio alikuwa funder mkuu wa REDET, lazima Mukandala amtunuku ili azidi kumwaga mafehda, coz alishasitisha. Au wengine waliopewa pia ni kisiasa(museven) kumbuka anapiga domo huko uganda ili udsm wapate fehda za kujenge hicho kituo chao, so zile Phd za heshima zinawatia moyo kupiga debe.
 
kuna tetesi anatumia Sigara Kubwa! so hata akisoma au kuandikwa vibaya akizomewa pia !! no P dah hata
 
ikiwa taifa linaangamia kwa mifumuko ya bei kiajabuajabu haf rais ambae ni kiongozi wa taifa yulo bize kushughulikia maphd yasiyo na tija jamani?
 
Back
Top Bottom