MWananyati
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 160
- 53
Haya yote umekuja kumueleza nani?
yeye mwenyewe kaonesha kushangaa, au hukumwelewa?
ndo mana unaambiwa ni majungu kwa sababu ilijulikana kabla kuwa atapewa phd aliyopewa, sasa unaongea nini?
amekwambia anahitaji kuitumia?
yeye mwenyewe kaonesha kushangaa, au hukumwelewa?
ndo mana unaambiwa ni majungu kwa sababu ilijulikana kabla kuwa atapewa phd aliyopewa, sasa unaongea nini?
amekwambia anahitaji kuitumia?